Kirusi bwete chazinduka
Kirusi kilichokuwa bwete kwa zaidi ya miaka 30,000 kimezinduka baada ya kupelekwa kweye maabara nchini Ufaransa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Rushwa, Kirusi kinachoitesa CCM
Rushwa!Rushwa!Rushwa! Hiki ndicho kimekuwa kilio cha wagombea wengi wa ubunge walioshiriki mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) karibu nchi nzima.
10 years ago
Vijimambo06 Jan
HIKI NDICHO KIRUSI KINACHOITAFUNA SIMBA

Simba ilikuwa tishio lakini kwa miaka ya hivi karibuni imegeuka na inaandamwa na matokeo mabovu.Mwaka 2011-2012 Simba iliambulia nafasi ya 3 katika ligi ikiwa nyuma ya Yanga na Azam, msimu wa mwaka 2013-2014 ilishika nafasi ya 4 nyuma ya Azam, Yanga na Mbeya City iliyoingia...
5 years ago
Michuzi
Teknolojia inavyotusaidia kupambana na kirusi cha corona

Nchi mbalimbali zimechukua hatua kusaidia taasisi za afya kama hospitali kuweza kuhudumia idadi kubwa ya wagonjwa ambayo kwa wakati mmoja inahitaji wahudumu wa afya, dawa na vifaa.
Njia mojawapo kusaidia hilo ni kupunguza uwezekano wa maambukizi na tumeona hatua kama kufunga shule, mahoteli na kukataza mikusanyiko. Serikali ya...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
PETER MWALYANZI: Rushwa ni kirusi katika soka nchini
“LICHA ya kukosa mafanikio kisoka kunakoliandama taifa letu, lakini ukweli unabaki kuwa Tanzania kuna vipaji vingi sana, ila baadhi ya viongozi wa klabu wanaviua kwa maslahi yao binafsi. “Mchezaji unaweza...
5 years ago
Michuzi
Walioambukizwa kirusi cha corona Afrika Kusini wafikia 38

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, watu 14 waliokumbwa na ugonjwa wa COVID-19 wameongezeka katika kipindi cha siku moja nchini Afrika Kusini.
Huku hayo yakiripotiwa, idadi ya walioambukizwa kirusi cha corona imeongezeka mara mbili pia nchini Morocco baada ya nchi hiyo kuripoti kesi nyingine 9 za...
5 years ago
Michuzi
Kirusi cha corona kinavyobadili namna tufanyavyo biashara

Kama ilivyo kwa nchi nyingi duniani, Tanzania nayo inapata changamoto hii. Katika miaka ya karibuni, Tanzani imeingia kwa nguvu zote kuhakikisha inabadilika kuwa nchi ya viwanda yenye uchumi wa kati kufikia mwaka 2025. Kufikia hilo kila juhudi inawekwa katika kujenga uchumi wa taifa, wenye biashara na viwanda...
5 years ago
Michuzi
Sekta binafsi Tanzania inavyosaidia kupambana na homa ya kirusi cha Corona

Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza mpango kujenga hospitali ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kama homa hii ya kirusi cha corona. Hospitali hiyo inayokadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 7 za Kitanzania inatarajiwa kumalizika ndani ya miezi sita.
Mbali na hilo, ni faraja kubwa kuona nchi mbalimbali zinakuja pamoja kuhakikisha maisha...
11 years ago
GPL
MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!
Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania