Kiswahili sanifu na fasaha
Mnamo mwaka 1968 Mwalimu Julius K. Nyerere aliwahi kusema kuwa elimu inayotolewa haina budi kumchochea mtu kuwa na mambo yafuatayo: Kwanza ni kuwa na akili yenye udadisi wa mambo. Pili ni kuwa na uwezo wa kujifunza kutokana na yale yanayofanywa na wengine. Tatu ni kujiamini kama mtu huru aliye sawa na wengine katika jamii. Nne ni kuthaminiwa na wenzake kutokana na matendo yake na wala siyo kile alichonacho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Jifunze Kiswahili Fasaha
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Misingi ya Kiswahili Fasaha
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Kiswahili fasaha kitumike Bunge la Katiba, siyo ‘Kiswanglish’
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Lugha sanifu ya Kiswahili.
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Jifunze Kiswahili Sanifu
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Matumizi ya Kiswahili sanifu
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Je inawezekana kuwa na kiswahili sanifu?
10 years ago
Habarileo12 Mar
Mafundi sanifu 10,000 kupata ajira Tamisemi
WIZARA ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imepata kibali kutoka menejimenti ya utumishi wa umma wa kuajiri mafundi sanifu zaidi ya 10,000 watakaosaidia uendeshaji wa maabara katika shule mbalimbali za sekondari nchini.
10 years ago
MichuziMAFUNDI SANIFU (TEMESA) WAFUNDWA KUHUSU USIMAMIZI NA UKAGUZI WA MAZINGIRA, MOROGORO