Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiwanda cha ‘Kichina’ chabainika Dar

>Raia mmoja wa China anadaiwa kumiliki kiwanda bubu cha samani na vifaa vingine vya ujenzi katika eneo la Tabata-Segerea, Mtaa wa Migombani, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kiwanda cha bayogesi chazinduliwa Dar

KAMPUNI inayouza gesi katika Afrika Mashariki ya Simgas, jana ilizindua kiwanda chake cha kutengeneza baogesi kilichopo barabara ya Pugu katika Makao Makuu ya Kampuni mwenza ya Silafrica.

 

10 years ago

Habarileo

Mabosi kiwanda cha nondo mbaroni Dar

MAMLAKA ya Maji safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco) imekamata mifuniko ya majitaka katika kiwanda cha nondo cha Iron & Steel cha jijini Dar es Salaam ikiwa ni hatua mojawapo za kuzuia uhujumu wa miundombinu ya majisafi na wizi wa maji.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi wa Kiwanda cha Urafiki Dar wagoma

Zaidi ya Wafanyakazi 1, 200 wa kiwanda cha Tanzania China-Friendships Co. Ltd (Urafiki) wameanza mgomo leo kushinikiza nyongeza ya mshahara na mazingira bora ya kazi.

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR

SIMBA SC ambayo iko katika shughuli mbalimbali za kuadhimisha Simba Week imefanya ziara  ya kutembelea kiwanda cha kutengeneza bia cha TBL kinachozalisha bia ya Kilimanjaro Premium Lager inayoidhamini timu hiyo.Akiongea katika ziara hiyo  Rais wa Simba, Evans Aveva alisema kuwa wao kama timu ya Simba wameamua kufanya ziara yao katika kiwanda hicho ikiwa ni sehemu ya utaratibu wao kutembelea wadhamini kila mwaka ili kuimarisha uhusiano na wadhamini na kuweza kujionea mambo mbalimbali ambayo...

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi Kiwanda cha vyombo Cello Dar wagoma

Wafanyakazi zaidi ya mia moja wa Kiwanda cha Cello kilichopo Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wamelazimika kufanya mgomo kushinikiza Wakala wa kiwanda hicho anayehusika na kuwalipa mshahara, kutatua kero zao.

Baadhi ya mambo wanayoyalalamikia wafanyakazi hao ni pamoja na kukosa mikataba na malipo kidogo ya mshahara ambapo kwa siku hulipwa shilingi 3,800.

Kilio cha wafanyakazi hao wa Kiwanda cha Vyombo vya plastiki Cello, wamepaza sauti kutaka mambo yao ya msingi yafanyiwe kazi ikiwemo...

 

10 years ago

Michuzi

MAOFISA WA JWTZ WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR

 Maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),walio kwenye mafunzo wakitembelea Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam. Meneja Uhusiano wa TBL,Edith Mushi akisalimiana na Mkufunzi wa Kozi ya Eme, Kapteni Erasto Kalinga Maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzaniaa (JWTZ),walio kwenye mafunzo wakitembelea Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam. Meneja wa Afya na Usalama mahali pa kazi wa TBL, Renatus Nyanda akitoa maelezo kwa maofisa hao jinsi ya kuzingatia usalama watakapotembelea...

 

11 years ago

Michuzi

UONGOZI WA TPSF WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR

 eneja wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Dar es Salaam, Calvin Nkya akieezea jinsi bia inavyopikwa kwa kutumia kompyuta, wakati ujumbe wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), ulipotembelea kiwanda hicho. Viongozi hao wa TPSF kutoka kushoto ni, aliyekaa ni Ofisa Mawasiliano, Rehema Mtingwa, Mkurugenzi Mtendaji Godfrey Simbeye, Mkurugenzi wa Huduma za Wanachama, Louis Accaro na Mkurugenzi wa Sera, Edward Furaha.  Nkya akiwaonesha viongozi hao wa TPSF, mtambo wa kutengenezea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani