Kiwanda cha ‘Kichina’ chabainika Dar
>Raia mmoja wa China anadaiwa kumiliki kiwanda bubu cha samani na vifaa vingine vya ujenzi katika eneo la Tabata-Segerea, Mtaa wa Migombani, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
Kiwanda cha bayogesi chazinduliwa Dar
KAMPUNI inayouza gesi katika Afrika Mashariki ya Simgas, jana ilizindua kiwanda chake cha kutengeneza baogesi kilichopo barabara ya Pugu katika Makao Makuu ya Kampuni mwenza ya Silafrica.
10 years ago
Habarileo19 Feb
Mabosi kiwanda cha nondo mbaroni Dar
MAMLAKA ya Maji safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco) imekamata mifuniko ya majitaka katika kiwanda cha nondo cha Iron & Steel cha jijini Dar es Salaam ikiwa ni hatua mojawapo za kuzuia uhujumu wa miundombinu ya majisafi na wizi wa maji.
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Urafiki Dar wagoma
11 years ago
Michuzi05 Aug
SIMBA WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR
9 years ago
StarTV06 Jan
Wafanyakazi Kiwanda cha vyombo Cello Dar wagoma
Wafanyakazi zaidi ya mia moja wa Kiwanda cha Cello kilichopo Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wamelazimika kufanya mgomo kushinikiza Wakala wa kiwanda hicho anayehusika na kuwalipa mshahara, kutatua kero zao.
Baadhi ya mambo wanayoyalalamikia wafanyakazi hao ni pamoja na kukosa mikataba na malipo kidogo ya mshahara ambapo kwa siku hulipwa shilingi 3,800.
Kilio cha wafanyakazi hao wa Kiwanda cha Vyombo vya plastiki Cello, wamepaza sauti kutaka mambo yao ya msingi yafanyiwe kazi ikiwemo...
10 years ago
MichuziMAOFISA WA JWTZ WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR
11 years ago
MichuziUONGOZI WA TPSF WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR