Kizungumkuti CCM, JK awataka wagombea wasinune
>Rais Jakaya Kikwete amesema idadi ya wanachama wa CCM waliojitokeza kuwania urais ni kubwa, hivyo ni lazima wawape viongozi muda wa kuwachuja lakini akawataka wasiwanunie baada ya kufanya uamuzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s72-c/22.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI WA CCM KUTENDA HAKI NA KUACHA KUWABEBA WAGOMBEA WASIO NA SIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s1600/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uom6bAfSmFY/VMFR7EBHA3I/AAAAAAAAV6c/niuJax62tXg/s1600/23.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yV6PTlC8TAU/VMFR_NGYqqI/AAAAAAAAV6k/JTPEYXcF7ks/s1600/24.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXzNMLR9NbA/VMFSDEiA1BI/AAAAAAAAV6s/ba5e5zRsvVc/s1600/25.jpg)
10 years ago
Mtanzania04 Sep
Wagombea urais CCM wavurugwa
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KATIKA kile kinachoonekana ni kuvuruga kambi za wagombea urais mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepangua makatibu wa mikoa 17 kwa kuwahamisha vituo vyao vya kazi.
Makatibu hao ni pamoja na Mary Chatanda aliyekuwa Mkoa wa Arusha, ambaye kwa sasa amehamishiwa Singida.
Chatanda kwa muda mrefu amekuwa na msuguano ndani ya Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha, huku kiini chake kikidaiwa ni misimamo tofauti ya vijana hao...
10 years ago
Vijimambo03 Jul
Wagombea kundi la kifo CCM
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2773598/medRes/1051524/-/maxh/240/maxw/460/-/48hcps/-/pich+wagombea.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 May
CCM inavyojikwaa kupata wagombea
9 years ago
Mwananchi14 Aug
CCM yapitisha wagombea ubunge
10 years ago
Habarileo05 Jun
Wagombea CCM wavunja rekodi
IDADI ya wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuongezeka na jana wagombea wengine sita walichukua fomu na kufanya idadi ya watu wanaowania kumrithi Rais Jakaya Kikwete kufikia 10.
10 years ago
Habarileo11 Jun
Wagombea urais CCM wafikia 28
IDADI ya wagombea nafasi ya Urais kupitia CCM sasa imefikia 28 baada ya jana makada wengine sita kuchukua fomu.
10 years ago
Habarileo02 Feb
Wagombea urais CCM kitanzini
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewaonya wanachama wa chama hicho, kuheshimu Katiba ya chama na kufuata taratibu katika kugombea nafasi za kuteuliwa katika uchaguzi wa mkuu ili wasije kukilaumu chama, endapo wataenguliwa na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao.
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM