Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kizungumkuti:Utata Kura za Wajumbe waliokwenda Hijja

Waliokuwa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakifurahia baada ya kumaliza kazi ya kutunga Katiba mjini Dodoma hivi karibuni. Picha ya Maktaba
Dar es Salaam. Utata umezidi kugubika kura mbili zilizowezesha kupitishwa kwa Katiba Inayopendekezwa ambayo wiki iliyopita ilikabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.Utata huo unatokana na kura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) upande wa visiwani, wajumbe waliokuwa Hijja, Saudi Arabia na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kizungumkuti kura ya maoni:AG kupasua jipu

Tume ya Uchaguzi yaitisha kikao kuijadiliMsimamo rasmi wa serikali kuhusu kura ya maoni kuamua ama kuikubali au kuikataa katiba inayopendekezwa, iwapo itapigwa kabla au baada ya uchaguzi mkuu ujao, unatarajiwa kutangazwa leo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, aliliambia NIPASHE jana kuwa ataweka bayana msimamo wa serikali leo ili kuzima mkanganyiko uliojitokeza kuhusiana na lini kura hiyo itapigwa.

Mkanganyiko huo unafuatia Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe Bunge la #Katiba wadai nyaraka huku Hati ya Muungano ikileta utata [VIDEO]

>Hoja hiyo iliibuliwa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliyeshauri kanuni ya 4 ya kuliendesha Bunge hilo Maalum irekebishwe ili wajumbe wapate nyaraka au taarifa yeyote wanayoihitaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Kura ya Meghji yazua utata mpya

Suala la Mjumbe wa lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba, Zakia Meghji kupiga kura upande wa Zanzibar wakati wa kupitisha Katiba Inayopendekezwa, limechukua sura mpya baada ya uliokuwa uongozi wa Bunge hilo kusema, “hakuna sehemu yoyote iliyobainisha kwamba alikuwa mjumbe kutoka Bara.”

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wahoji utata upigaji kura

Pamoja na Bunge Maalumu la Katiba kupitisha kanuni zote 87 za uendeshaji wake, bado kuna sintofahamu miongoni mwa wananchi kuhusu nini kilikubaliwa katika utaratibu wa upigaji wa kura.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utata wa katiba umalizwe kabla ya kura ya maoni

KWA mara nyingine, Rais Jakaya Kikwete amekuja na lugha mwanana na murua juu ya hiyo tunayotakiwa tuamini ni Katiba inayolifaa taifa hili. Lakini katiba itakayopelekwa kwa wananchi kuifanyia uamuzi sio...

 

10 years ago

Mwananchi

Utata Kura ya Maoni uangaliwe kwa makini

Juzi viongozi wa vyama vya upinzani walikuwa na kikao cha pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kujadili mchakato wa Kura ya Maoni, ambayo imetangazwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa itafanyika Aprili 30.

 

10 years ago

Tanzania Daima

NEC yaongeza utata kura ya maoni 2015

UWEZEKANO wa kufanyika kwa kura ya maoni Aprili 30 mwakani, kama alivyoahidi Rais Jakaya Kikwete ni mdogo, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuthibitisha kwamba itakamilisha kazi ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Guinea Condé ameahirisha kura ya maoni yenye utata

Waandamanji wamekasirika baada ya kuona kuwa katiba mpya itamuwezesha rais kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

Mtanzania

…Kura za wajumbe kukusanywa kwa mtandao

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA MAREGESI PAUL, DODOMA

BUNGE Maalumu la Katiba limelazimika kubadili kanuni ili kuwaruhusu wajumbe walio nje ya Bunge hilo kupiga kura za kupitisha rasimu ya Katiba.

Pia, Bunge hilo limebadili kanuni ya 36 inayoagiza mjumbe apige kura ibara kwa ibara ili kuruhusu mjumbe apigie kura ibara zote zilizoko katika sura moja au zaidi ili kupunguza muda wa wajumbe kupiga kura.

Uamuzi huo ulifikiwa jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani