KLABU OLYMPIA IMETEKETEA KWA MOTO
![](http://api.ning.com:80/files/OBVF16y-PPJ8lsovfhl7eyxfbSGQ8jvBngIjFJnV4Fxm9MVZRU6b9ganol6Wyjyshr4cM*H*cRj4BbIhK-XQsq42Box7A*fU/breakingnews.gif)
Klabu Olympia iliyopo Mori, Dar imeteketea kwa moto leo alfajiri chanzo chake kikidaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme. Jitihada za kuzima moto huo zinaendelea. Habari zaidi kuwajia baadae.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCLUB OLYMPIA YA SINZA-MORI YATEKETEA KWA MOTO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-kBSs9IWwQyA/VMiCjzkjd2I/AAAAAAACWaI/dvFFGlG6kdg/s72-c/IMG-20150128-WA0024.jpg)
CLUB OLYMPIA YA SINZA YAWAKA MOTO JANA USIKU
![](http://1.bp.blogspot.com/-kBSs9IWwQyA/VMiCjzkjd2I/AAAAAAACWaI/dvFFGlG6kdg/s640/IMG-20150128-WA0024.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VVEqhp65y-A/VMiCvEpjYxI/AAAAAAACWaQ/PcQIXJoDSZ4/s640/IMG-20150128-WA0025.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5OULCOPQSPQ/VMiCx-zv6eI/AAAAAAACWaY/_0tjyWqOP7w/s640/IMG-20150128-WA0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ITnfHEkw41s/VMiC1Ds2edI/AAAAAAACWag/KbcVfkY1uQA/s640/IMG-20150128-WA0022.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mx-98zE7ANI/VMiC2Z5AMzI/AAAAAAACWao/IxaAnBw1n74/s640/IMG-20150128-WA0021.jpg)
10 years ago
MichuziMAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboMAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDCRRixujJY/VGhk9zmlUXI/AAAAAAAAvsY/9rDoqXLpllo/s640/jones_1.jpg)
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Viongozi wa klabu acheni kuongoza kwa mazoea
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Drogba arudisha majeshi klabu ya Chelsea kwa mkataba wa mwaka mmoja!
Mshambuliaji wa Ivory Coast Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga tena na Chelsea.
Drogba, 36, alishinda makombe 10 akiwa na Chelsea kuanzia mwaka 2004 hadi 2012, baada ya kuifungia timu hiyo mabao 157 katika mechi 341 na alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka klabu ya Galatasaray ya Uturuki.
Meneja Jose Mourinho, mapema alisema Stamford Bridge ni kama “kwake” mchezaji huyo.
Drogba ameiambia tovuti ya Chelsea kuwa: “Ulikuwa uamuzi rahisi- sikuweza kukataa nafasi ya kufanya...