Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu zetu ziwape makocha heshima wanayostahili

Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara inayoendelea kwa muda wa miezi kadhaa imeshuhudia mambo mbalimbali, yakiwamo mengine ya kupendeza na baadhi ambayo ni ya kusikitisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee wanahitaji haki wanayostahili

“KESHO Juni 15 ni siku ya Kupambana na Manyanyaso na Dhuluma ya Wazee Ulimwenguni… hivyo tusiwahukumu wazee katika hali ya kutojielewa kwa kuwaua kwa kuhisi ni wachawi.” Hayo ni maelezo...

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Shukurani zetu za dhati

Kamati ya Fundraising ya Rashidi Mkakile. Inawashukuru sana kwa mchango wenu wa hali na mali na moyo mliouonyesha na kuungana nasi siku ya tarehe 16/12/2014 ili kumsaidia ndugu yetu.

Japo kulikua na hali mbaya ya hewa lakini mlijitoa kutusaidia. kiasi cha fedha kilichopatikana tulitangaza siku ya tukio katika ukumbi. Zitamsaidia ndugu yetu wakati huu mgumu wa kuuguzwa.

Tunakushukuruni sana. Mungu awajaalieni nyote.

Tunasema asante sana kwa watanzania wa Boston na wana Massachusetts na state...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ama zao au zetu — Lowassa

MGOMBEA urais wa Chadema ambaye pia anawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amesema vyama vinavyounda umoja huo visipochukua dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, havitaweza kuchukua tena kwa miaka 50 ijayo.

Akizungumza Makao Makuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) Buhuruni jijini Dar es Salaam jana mbele ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumpokea alipofika katika ofisi hizo kwa mara ya kwanza, Lowassa alisema ni lazima Ukawa wahakikishe wanashinda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPC: Tunaboresha huduma zetu

SHIRIKA la Posta Tanzania (TPC) limo katika hatua ya utekelezaji wa mpango wa miaka 10 ili kuendelea kuboresha huduma zake. Kaimu Masta Mkuu wa TPC, Fadya Zam, alisema hayo jana...

 

11 years ago

GPL

ZA KUAMBIWA NA JK, WARIOBA TUCHANGANYE NA ZETU

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete Ijumaa iliyopita alilizindua rasmi Bunge Maalum la Katiba kwa kutoa hotuba iliyokigawa chombo hicho muhimu kwa taifa kwa sasa, baada ya wajumbe wake kutofautiana misimamo. Hotuba hiyo ya Rais, ilikuja siku chache tu baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuzihurimie fedha zetu si UKAWA

WATANZANIA ni watu wa ajabu sana, maajabu yenyewe yanakuja hivi; linakuja wazo la kutengeneza kitu linakubaliwa kitu kitengenezwe. Inatengwa fedha nyingi sana kwa ajili ya maandalizi, kitu kinatengenezwa na kukubalika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wabongo akili zetu kama haradali!

UUUWWWWWIIII! Hivi hawa watu wanadhani Watanzania akili zetu ni ndogo kama punje ya haradali au vipi?  Hata mambo ya kimataifa mnafanya mizaha tu eh? Unajua vitu vingi hata vikiwa binafsi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani