TPC: Tunaboresha huduma zetu
SHIRIKA la Posta Tanzania (TPC) limo katika hatua ya utekelezaji wa mpango wa miaka 10 ili kuendelea kuboresha huduma zake. Kaimu Masta Mkuu wa TPC, Fadya Zam, alisema hayo jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Aug
TPC yaboresha huduma ya kutuma fedha kwa mitandao
SHIRIKA la Posta Tanzania (TPC), limesema liko mbioni kuboresha zaidi huduma zake ikiwemo ya kutuma fedha kwa mitandao ya simu, hatua ambayo itawezesha wananchi kutumia huduma za shirika hilo zitakazokuwa na ubora na unafuu kwa manufaa ya umma.
Pia limesema huduma za posta ni muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote duniani licha ya uwepo wa tekinolojia mbalimbali hususan barua pepe na simu za viganjani ambapo hata nchi zilizoendelea bado zinaendelea kutumia mawasiliano ya...
9 years ago
Habarileo22 Oct
JK: Tunaboresha jeshi ili kulinda mipaka
RAIS Jakaya Kikwete amesema Tanzania inaimarisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), siyo kwa nia ya kumchokoza mtu ama nchi yoyote, bali kwa nia ya kulinda mipaka yake kwa sababu kila hatua ya maendeleo ina changamoto tofauti za ulinzi wa nchi.
10 years ago
IPPmedia15 Feb
TPC leadership needs to do more for Paralympics
IPPmedia
Yesterday, the Tanzania Paralympic Committee (TPC) General Elections took place with today marking the first day in office for the incoming leadership. It has to be emphasized though the task facing the new administration is a daunting and arduous one: that ...
9 years ago
Habarileo10 Dec
TPC kuanzisha bustani ya wanyama
MENEJIMENTI ya kiwanda cha uzalishaji sukari cha TPC Ltd wilayani Moshi imeiomba serikali kuwapunguzia tozo ya wanyamapori ili waweze kuanzisha bustani ya wanyama ndani ya ardhi ya kiwanda hicho kama sehemu ya kukuza utalii.
9 years ago
Habarileo07 Dec
TPC yaidai Tanesco bilioni 2.9 za umeme
KIWANDA cha Uzalishaji Sukari (TPC) Ltd cha Moshi mkoani Kilimanjaro kinalidai Shirika la Umeme nchini (Tanesco) zaidi ya Sh bilioni 2.9 kama fedha za kuwauzia umeme unaozalishwa hapo na kuingizwa katika Gridi ya Taifa.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Majivu kukiponza Kiwanda cha TPC
11 years ago
Daily News20 Jan
TPC boss appeals over workers' salary arrears
Daily News
THE Postmaster General has gone to the Court of Appeal to challenge a refusal by the High Court to review its decision regarding payments of salaries arrears and other benefits to his former employees. The decision being sought to be challenged was ...
11 years ago
IPPmedia19 Jan
TPC set to start physical address system
IPPmedia
Tanzania Posts Corporation (TPC) has called for full cooperation from the public as it starts implementation of physical address and post code system in Dar es Salaam. The corporation's Acting General Manager Business Management, Fadya Zam, said ...
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
TPC chaomba msamaha wa kodi vifaa vya umwagiliaji
KIWANDA cha sukari (TPC) kilichopo wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, kimeiomba msamaha wa kodi katika uingizaji wa vifaa vya umwagiliaji ili waweze kuvinufaisha baadhi ya vijiji vinavyozunguka kiwanda hicho. Akizungumza na...