Shukurani zetu za dhati
Kamati ya Fundraising ya Rashidi Mkakile. Inawashukuru sana kwa mchango wenu wa hali na mali na moyo mliouonyesha na kuungana nasi siku ya tarehe 16/12/2014 ili kumsaidia ndugu yetu.
Japo kulikua na hali mbaya ya hewa lakini mlijitoa kutusaidia. kiasi cha fedha kilichopatikana tulitangaza siku ya tukio katika ukumbi. Zitamsaidia ndugu yetu wakati huu mgumu wa kuuguzwa.
Tunakushukuruni sana. Mungu awajaalieni nyote.
Tunasema asante sana kwa watanzania wa Boston na wana Massachusetts na state...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Oct
SHUKURANI ZA DHATI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jBW1zQkaq-U/VNjwP37knmI/AAAAAAAAE24/rHWQXPa8LXg/s72-c/Untitled%2Bpresentation%2B(16).jpg)
SHUKRANI ZA DHATI !.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jBW1zQkaq-U/VNjwP37knmI/AAAAAAAAE24/rHWQXPa8LXg/s1600/Untitled%2Bpresentation%2B(16).jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-QHWEmlb4UOA%2FVNj1jT9S-EI%2FAAAAAAAAE3s%2FvCFb4I726Xs%2Fs1600%2Fimage%252B(2).jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
WATOTO WA SHULE YA MSINGI WAKIJITOLEA ILI KUPATA MASAA 75 YA HUDUMA KWA JAMII KAMA DESTURI KABLA YA KUFUZU ELIMU YA SEKONDARI NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-jJ0wr1BBX-4/VNjwhN8xIPI/AAAAAAAAE3A/eZWU0brbJ4o/s1600/IMG-20150208-WA0014%2B(4).jpg)
SURVIVOR WA SHAMBULIZI LA MOYO AKIZUNGUMZA NA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-xoK_vKbZceE/VNjwr07Hk3I/AAAAAAAAE3I/f_G1XdStmgA/s1600/download_20150208_220521%2B(1).jpeg)
DADA ASHA HARRIZ AKITEMBELEA HUDUMA MBALI MBALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-WjK51IGRNck/VNjw19i79rI/AAAAAAAAE3Q/XjxQNohhxFY/s1600/20150207_124926.jpg)
Shukrani;NesiWangu blogspot.com
9 years ago
Bongo504 Sep
Video: Mdoti — Penzi la Dhati
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’
MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s72-c/png;base64c5152851411af50e.png)
SHUKRANI ZA DHATI KWA WANA-DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s1600/png;base64c5152851411af50e.png)
Ushirikiano na Upendo mlio onyesha ndio msingi utakaotuletea maendeleo ya kweli.Mbele yetu tuna kazi kubwa, lakini kwa moyo mliyoonyesha nina imani tutaweza.Asanteni saana. Palipo na Umoja pana Ushindi. PS
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa dhati
LEO Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka 16 kamili bila kuwa na mwasisi wake Baba wa T
Mwandishi Wetu
10 years ago
Vijimambo12 Apr
DALILI 20 ZA MWANAMKE ASIYEKUPENDA KWA DHATI!
![](http://karibumbeya.com/wp-content/uploads/2015/04/51a734de010fa38494-200x113.jpg)
Dalili 20 za mwanamke asiyekupenda kwa dhati!
1 : Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
2 : Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
3 : Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
4 : Anaahilisha mara kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfDAYsfoIUXX-W7sDGohtqddQZAZnWEF3DcwfYObKUwKAAA4FvAuaFSo1UhvVy-GjlFKEA1mbscgFgzLiDM2NxMm/mahaba.jpg?width=650)
SIFA 10 ZA MUHIMU ZA MPENZI MWENYE UPENDO WA DHATI