Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


K.O awasifi a Nahreel, Diamond

KOJULIET MORI (TUDARCO)

RAPA wa Afrika Kusini, Ntokozo Mdluli, ‘K.O’ amewamwagia sifa nyingi prodyuza, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ na msanii wa kiwango cha juu, Abdul Nassib ‘Diamond Platinum’ kwa kazi zao nzuri zinazofanya vizuri nje ya Tanzania.

Rapa huyo aliweka wazi mapenzi yake kwa wasanii hao akiwa katika ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania, akitembelea vituo mbalimbali vya redio na televisheni pamoja na kukutana na wadau wa muziki nchini kwa ajili ya kubadilishana uzoefu.

Akiwa katika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio)

Kama ulipitwa na stori kubwa tatu kwenye 255 iliyosikika kwenye show ya XXL Clouds FM, ninazo hapa za Joh Makini, Diamond na Afande Sele. Joh Makini kwenye level za kimataifa sasahivi… rapper huyo amesema kuna majina makubwa ya wanaotaka collabo ila hawezi kuyataja japo kwenye majina hayo yupo Davido pia kutoka Nigeria. Nahreel aliwahi kuzungumzia […]

The post Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond: Sikukata jina la Nahreel kwenye beat ya ‘Nana’

Diamond

Siku kadhaa zilizopita mtayarishaji wa muziki wa studio ya The Industry, Nahreel alilalamikia kitendo cha utambulisho wake ‘Nahreel on the beat’ kuondolewa kwenye hit song ya Diamond Platnumz ‘Nana’ ambayo ndiye aliyei-produce.

Diamond

Diamond naye amepata nafasi ya kueleza sababu ya utambulisho huo kutokuwepo kwenye wimbo huo.

Baba Tiffah amesema kuwa mwanzoni wakati anataka kushoot video hiyo Nahreel alimpa demo ambayo ilikuwa bado haijawekewa sign hiyo, hivyo baada ya kushoot na director...

 

11 years ago

Bongo5

Nahreel afungua studio mpya ‘The Industry’, Diamond na wengine wameshaibariki

Mtayarishaji wa muziki, Nahreel amefungua studio mpya iitwayo ‘The Industry’ na tayari amefanya wimbo na wasanii mbalimbali wakiwemo Diamond, Nikki wa Pili pamoja na kundi lake, Navy Kenzo. Nahreel amesema studio hiyo ina wiki moja tu tangu ifunguliwe lakini tayari imeshafanya nyimbo na wasanii kadhaa. “Yeah kuna kitu kinaendelea Diamond alikuwa kwenye studio yetu mpya […]

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel ni ‘fashion killer’ — Maurice Kirya

12132685_1665005287102888_1813246967_n

Sifa kubwa aliyonayo Nahreel ni kutengeneza beats. Mwaka huu mtayarishaji huyo wa muziki ametengeneza hits kama ‘Nusu Nusu’ ya Joh Makini, Nana ya Diamond, Never Ever ya Vanessa Mdee na zingine.

12132685_1665005287102888_1813246967_n

Lakini kwa mujibu wa muimbaji wa Uganda, Maurice Kirya, member huyo wa kundi la Navy Kenzo ni mvaaji mahiri wa pamba kali.

“Pamoja na kuwa genius katika kutengeneza beats, naweza kumuita [Nahree] fashion killer,” Maurice aliambia website ya Coke Studio kuhusu jinsi alivyofanya kazi na Nahree. “Kila...

 

10 years ago

Bongo5

Nahreel na Aika wazungumzia mpango wa kuoana

Wapenzi wanaounda kundi la Navy Kenzo, Nahreal pamoja na Aika wameweka wazi mpango wao wa kufunga pingu za maisha mbeleni. Akizungumza na Bongo5 Ijumaa hii katika fainali za BSS, wawili hao walisema wana mpango huo japo hawajapanga ni lini. “Yeah ndoa ipo, ipo kabisa, hatuwezi kusema sasa hivi lakini itafika tu muda mzuri wa kufunga […]

 

10 years ago

Bongo5

Nahreel kufungua chuo cha muziki ‘TIMS’

Producer Nahreel na msanii wa kundi la Navy Kenzo, anaanzisha chuo cha muziki chini ya studio yake ya The Industry. Nahreel amesema kuwa mafunzo yatakayotolewa katika chuo cha TIMS (The Industry Music School) ni pamoja na utengenezaji wa midundo, ufanyaji wa mixing na mastering, kutunga, kurap, kuimba,na usimamizi wa biashara ya muziki. “Classes zitaamza karibuni […]

 

10 years ago

Bongo5

Quick Rocka adai hana tofauti na Nahreel

Rapper Quick Rocka amedai kuwa hana tofauti yoyote na producer wa The Industry, Nahreel licha ya kuwepo tetesi mtaani kuwa hawaelewani tena. Nahreel alikuwa producer wa studio ya Quick, Switch Records kabla ya kuondoka na kwenda kuanzisha studio yake, The Industry. Hatua hiyo ilidaiwa kuharibu uhusiano wao japo tayari Quick ameshapata producer mwingine aitwaye Lufa. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani