Kortini kwa kumshika matiti mwanamke
MCHUMI wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Brown Kajange (42) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu mashitaka mawili, likiwamo la shambulio la aibu kwa kumshika matiti mwanamke bila ridhaa yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Mwanamke Dar kortini kwa heroini
9 years ago
Habarileo19 Aug
Kortini akidaiwa kuua akigombea mwanamke
MFANYABIASHARA wa duka la vipuri vya magari mjini Tarime mkoani Mara, Tumaini Jacob amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya akituhumiwa mauaji ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Saratani ya kizazi, matiti tishio kwa wanawakeÂ
IMEBAINIKA kuwa saratani ya kizazi na matiti imezidi kuwa tishio kwa wanawake nchini. Hayo yalibainishwa na Dk. Aldina Amyria wa Hospitali ya Aga Khan ya jijini Dar es Salaam alipofanya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0J8rA-KhshAaw94pHKKshE3cHEL1OAXMFOq2oUASkpNHyupwdRMJ7SHJXjFMlgJnaYfPaW4Jr2fTh8RQFdCtFvV/lulu1.jpg?width=650)
LULU AZUIWA KUMSHIKA MKONO MAMA SALMA KIKWETE
11 years ago
Bongo513 Aug
Meninah: Diamond hata kumshika mkono sijawahi, akanusha tetesi za kutoka nae
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-JKJTQG9r6cQ/VEUs3yCr0jI/AAAAAAAAEvs/zGqNoTti0S0/s72-c/download.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATUNUKIWA KWA JUHUDI ZAKE ZA KUPAMBANA NA SARATANI YA MATITI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JKJTQG9r6cQ/VEUs3yCr0jI/AAAAAAAAEvs/zGqNoTti0S0/s1600/download.jpg)
Mama Salma Kikwete Jumamosi Tarehe 18. 2014 alitunukiwa tuzo ya juhudi zake anazozifanya za kupambana na Saratani ya Matiti. Tuzo hiyo ilitolewa na taasisi ya African Women's Cancer Awareness Assocition kwenye hafla ya Gala Dinner iliyofanyika kwenye hoteli ya Omni Shoreham Hotel iyopo Washington DC.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tX2i1NdGBA8/VEUqyPLc1AI/AAAAAAAAEuA/0eKwMZUinxk/s1600/20141018_223414.jpg)
Balozi Liberata Mulamula Akikabidhiwa Tuzo hiyo kwa Niaba ya Mama Salma Kikwete na Rais Wa African Women's Cancer Association Ms. Ify Anne Nwabukwu, RN, BSN
![](http://2.bp.blogspot.com/-MqZC0-_kcHk/VEUqyAF76EI/AAAAAAAAEuI/n03gLaPCwv0/s1600/20141018_223419.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wafanyakazi wa TIGO washiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti jijini Dar
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akisalimiana na Meneja wa huduma za Jamii wa kampuni ya simu ya Tigo, Woinde Shisael (kulia) kabla ya kuanza kwa matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti jijini Dar es Salam jana yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo. Wanaoshuhudia ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya saratani ya Ocean Road, Diwani Msemwa (kushoto kwake) na Mkurugenzi wa Wellworth Tanzania, Saul Basckin.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid...
10 years ago
MichuziWAMA YAANDAA MKUTANO WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NA MATITI KWA AKINA MAMA AFRIKA MASHARIKI