Kortini kwa viroba feki
WAFANYABIASHARA wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, wakikabiliwa na tuhuma za kuuza katoni 216 za pombe halisi maarufu ‘Viroba’ zinazoonyesha zimetengenezwa na Kampuni ya Mega...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Afa kwa kuzidisha viroba
MKAZI wa Kijiji cha Ibindi, Tarafa ya Nsimbo, wilayani Mlele, Michael Silanda (26), amefariki dunia baada ya kunywa pombe za viroba aina ya Zed kupita kiasi bila kula. Kamanda wa...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Ripoti: Bidhaa feki faida kwa Serikali hasara kwa wananchi
11 years ago
Michuzi10 Feb
news alert: watano wapanda kizimbani kwa mashtaka ya usambazaji wa Dawa feki za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgTM2-1*tam6HXYbVXiPbplNz-eGA6929V7YJ2CvlsFyiRRQqUGYhaI45C18mETFyfrIng8lgd4qmgZYzZTOFVTi/viroba.jpg)
VIROBA SI CHAI!
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Kortini kwa kuingia nyumbani kwa Mzee Mwinyi
NA MANENO SELANYIKA, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Ilala Mtaa wa Lindi, Hafidhi Ally (23), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kuvamia kisha kuingia nyumbani kwa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mbele ya Hakimu Ester Kihiyo, karani wa mahakama hiyo, Mosses Mchome, alidai kwamba mtuhumiwa alifanya kosa hilo Desemba 10, mwaka huu saa 7:30 usiku nyumbani kwa Mzee Mwinyi, Mikocheni B, Dar es Salaam.
Karani Mchome aliiambia mahakama hiyo kwamba, Hafidhi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s72-c/Sisti-10June2015.jpg)
150 KORTINI KWA KUJIANDIKISHA MARA MBILI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA KWA MFUMO MPYA BVR
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s400/Sisti-10June2015.jpg)
Aidha, imeeleza kuwa kata 130 zimeongezeka kutokana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufanya mabadiliko ya kiutawala katika kata, vijiji,vitongoji na Mitaa hivyo kulazimu NEC kuhairisha kwa wiki moja uandikishaji wa daftari uliokuwa ukianza jana kwa baadhi...
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Kilimanjaro kinara wa pombe ya viroba
11 years ago
Habarileo07 Jun
Waziri: Viroba ni janga la kitaifa
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene amesema ipo haja ya pombe zinazouzwa zikiwa zimefungwa kwenye mifuko midogo ya plastiki maarufu kama viroba kuondolewa kwani ni janga la taifa linalosababisa ulevi kila eneo.
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Polisi: Tatizo la viroba ni TRA
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kagera, George Mayunga, amesema watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) mkoani hapa wanashirikiana na wafanyabiashara wa pombe kali aina ya viroba wanaokwepa kodi. Kauli ya...