Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUDAI TANGANYIKA KULIANZIA BUNGENI 1993 - 5

Tulieleza jinsi wabunge 55 walivyotaka kuirudisha Serikali ya Tanganyika na jinsi baadhi yao ‘walivyonyamazishwa’ kwa kupewa uwaziri na Mwalimu Julius Nyerere alivyozima hoja. Tuliona pia maoni ya Nyerere kwamba lengo lake lilikuwa ni kuwa na serikali moja Tanzania. Wazanzibari wako wazi hata leo, wanapinga muundo wa muungano wa serikali moja na badala yake wanataka ule wa serikali tatu na wengine mbili. Sababu kubwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KUDAI TANGANYIKA KULIANZIA BUNGENI 1993 - 4

Tunaendelea kukumbusha suala la kudai Tanganyika lililoanza rasmi mwaka 1993 bungeni na wakati huo waanzilishi walikuwa ni wabunge wa CCM. Suala hili ni nyeti na linawagusa wote, wananchi wa Tanzania kwa ujumla wao, bila kujali itikadi zao za siasa. Mkuu wa Mkoa wa Mara wa wakati huo, Joseph Butiku (pichani) Agosti 23, 1994, alitoa kauli kali kwamba msimamo uliokuwa umefikiwa na CCM ni kuwa na serikali mbili katika muungano...

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Kuna dhambi gani kudai Serikali ya Tanganyika?-2

>Wiki iliyopita nilijadili katika safu hii kuhusu haja ya kuwa na Serikali ya Tangangika.  Ninawashukuru wote walionitumia ujumbe wa simu kuchangia hoja zao.

 

10 years ago

BBC

SA police 'find car stolen in 1993'

A South African man tells a local newspaper how his car stolen 22 years ago has been found 'in mint condition' by the police.

 

11 years ago

Habarileo

TICTS marufuku kudai dola

WIZARA ya Fedha imeipiga marufuku Kampuni ya Kuhudumia Kontena Bandarini (TICTS), kulazimisha wateja kulipia huduma kwa dola ya Marekani. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alisema Dar es Salaam jana kuwa Wizara imeamuru kufutwa kwa masharti yanayolazimisha wateja kulipia huduma kwa fedha za kigeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajitokeza na kudai watoto wa Mandela

Wanawake wawili wanaodai kuwa watoto wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, wamejitokeza na kutaka watambuliwe kwenye mirathi ya familia yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananachi wahimziwa kudai risiti

WANANCHI wametakiwa kudai risiti kila wakati wanaponunua bidhaa au kupata huduma ili kuweka uwiano mzuri wa ulipaji kodi na ushindani wa biashara. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RCGA waandamana kudai kibali

MAANDAMANO ya zaidi ya kilometa 100 yaliyofanywa na wanachama wa Chama cha Wakulima wa Miwa bonde la Ruhembe (RCGA) kwenda kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa wakidai kibali cha kufanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji aliyepokwa ardhi kudai fidia

BAADA ya Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kuligawa eneo la mwekezaji Mees Estate Ltd kwa wanakijiji cha Mbigili, Kitongoji cha Mateteni kwa madai kuwa imefutiwa umiliki, uongozi wa mwekezaji huyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Bariadi sasa kudai fidia

SAKATA la mbegu za pamba zilizogoma kuota limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kuanza kukusanya saini zao ili waweze kuwasilisha madai ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani