Wananachi wahimziwa kudai risiti
WANANCHI wametakiwa kudai risiti kila wakati wanaponunua bidhaa au kupata huduma ili kuweka uwiano mzuri wa ulipaji kodi na ushindani wa biashara. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Sep
Wafanyabiashara waiba kwa risiti feki
UHAKIKI wa matumizi ya mashine maalumu za risiti za kielektroniki (EFDs) umebaini udanganyifu na wizi miongoni mwa wafanyabiashara wakiwemo baadhi wanaodaiwa kuwapa wateja risiti zenye kiwango pungufu na kiasi kilichotolewa.
9 years ago
Habarileo20 Aug
Sefue: Ofisi za serikali marufuku kutoa risiti za mkono
OFISI za serikali na taasisi za Umma zimeagizwa kuacha mara moja kukusanya mapato ya serikali kwa kutumia risiti za kuandika kwa mkono, badala zitumie mfumo wa serikali mtandao.
11 years ago
Habarileo30 Jan
TICTS marufuku kudai dola
WIZARA ya Fedha imeipiga marufuku Kampuni ya Kuhudumia Kontena Bandarini (TICTS), kulazimisha wateja kulipia huduma kwa dola ya Marekani. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alisema Dar es Salaam jana kuwa Wizara imeamuru kufutwa kwa masharti yanayolazimisha wateja kulipia huduma kwa fedha za kigeni.
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Wajitokeza na kudai watoto wa Mandela
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
RCGA waandamana kudai kibali
MAANDAMANO ya zaidi ya kilometa 100 yaliyofanywa na wanachama wa Chama cha Wakulima wa Miwa bonde la Ruhembe (RCGA) kwenda kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa wakidai kibali cha kufanya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIkog6kXCTHLd9EzDfqTq78gO-gH7l3QxG4vFhbjYbLfXa263fVR696Djs*La*FbN0yRE6B8I8K2hYhGR1WJw3Bu/tiku.jpg?width=650)
KUDAI TANGANYIKA KULIANZIA BUNGENI 1993 - 4
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*r7p5C81WSSXqFPpU9yAaCdDlHpF5*Mcq2H4ccfqOlunJh3afjOGpZrpdbQKt56U6zWmRyT6mWUZtflNV6Nq56L/salim.jpg?width=650)
KUDAI TANGANYIKA KULIANZIA BUNGENI 1993 - 5
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwekezaji aliyepokwa ardhi kudai fidia
BAADA ya Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kuligawa eneo la mwekezaji Mees Estate Ltd kwa wanakijiji cha Mbigili, Kitongoji cha Mateteni kwa madai kuwa imefutiwa umiliki, uongozi wa mwekezaji huyo...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Waandamana kudai kidato cha tano
WAHITIMU 39 wa kidato cha nne mwaka jana katika Shule ya Sekondari Karobe jijini hapa wakiwa na wazazi wao, jana waliandamana hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa ili kujua hatma...