Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sefue: Ofisi za serikali marufuku kutoa risiti za mkono

OFISI za serikali na taasisi za Umma zimeagizwa kuacha mara moja kukusanya mapato ya serikali kwa kutumia risiti za kuandika kwa mkono, badala zitumie mfumo wa serikali mtandao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE JUMAA AUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUTOA MSAADA KUJIKINGA NA CORONA


Na Mwamvua Mwinyi Kibaha KATIKA jitihada za kuunga mkono Serikali katika vita dhidi ya homa ya Corona Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini ,Hamoud Jumaa amekabidhi ndoo 100 za kuwawia mikono pamoja na sabuni,vyenye thamani ya milioni mbili ili kujikinga na Corona.
Ndoo hizo pamoja na sabuni zimekabidhiwa katika Kituo cha Afya cha Mlandizi ili zisambazwe kwenye vituo vya Afya, Zahanati zote ,kwa wafanya biashara sokoni pamoja Standi ili kupambana na homa ya Corona.
Jumaa aliwataka wananchi wa...

 

11 years ago

Vijimambo

BALOZI OMBENI SEFUE AIUNGA MKONO JENGA

Mmoja wa viongozi wa Jenga foundation Bw. Nassoro Basalama akimvalisha Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue  moja ya vitu vilivyokua vinauzwa kwenye mkutano wa DICOTA 2014 Durham, North Carolina kwenye meza ya JJENGA.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa (katikati) akipata ufafanuzi kuhusu matumizi ya mashine ya Cherehani katika utengenezaji wa Barakoa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Uchapishaji cha Five stars, Ashik Abbas Karim (kushoto), leo Aprili 20, 2020 alipokua katika ziara ya Jijini Dar es Salaam ya kutembelea Viwanda vinavyozalisha Barakoa na Vitakasa Mikono. Waziri wa Viwanda na Biashara,  Innocent Bashungwa (katikati) akisikiliza kwa makini maelezo ya eneo la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku kutoa wafanyakazi wa nyumbani UG

Bunge nchini Uganda limepitisha azimio ambalo linazuia usafirishwaji wa mabinti na wanawake kwenda kufanya kazi nje ya nchi hiyo .

 

10 years ago

Mtanzania

Sefue: Serikali inapita katika kipindi kigumu

Ombeni-SefueNa Jonas Mushi, Dar es Salaam

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema Serikali inapitia kipindi kigumu kutokana na mfululizo wa vifo vya mawaziri wake.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana baada ya kuupokea mwili wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda uliowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 9.00 alasiri kwa ndege ya Emirates kutoka New Delhi   India.

Alikuwa ameongozana na viongozi wengine akiwamo Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mkuu wa...

 

11 years ago

Ykileo

SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.

Nchini uchina kumezuka gumzo baada ya serikali kupiga marufuku matumizi ya Window 8 katika computa zote za serikali nchini humo. Taarifa iliyo chapishwa na “CHINA DAILY” ilibainisha uamuzi huo wa serikali uliowekwa kwenye tovuti ya serikali ya nchini humu ambapo ilisisitiza zoezi hilo hali husu komputa za watu binafsi isipokuwa zile zinazotumiwa na serikali.


Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeonya kwamba mtu yoyote haruhusiwi kutoa kadi yake ya kupigakura au taarifa za kadi hiyo kwa ndugu, jamaa au mwajiri wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananachi wahimziwa kudai risiti

WANANCHI wametakiwa kudai risiti kila wakati wanaponunua bidhaa au kupata huduma ili kuweka uwiano mzuri wa ulipaji kodi na ushindani wa biashara. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam jana...

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara waiba kwa risiti feki

UHAKIKI wa matumizi ya mashine maalumu za risiti za kielektroniki (EFDs) umebaini udanganyifu na wizi miongoni mwa wafanyabiashara wakiwemo baadhi wanaodaiwa kuwapa wateja risiti zenye kiwango pungufu na kiasi kilichotolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani