Sefue: Ofisi za serikali marufuku kutoa risiti za mkono
OFISI za serikali na taasisi za Umma zimeagizwa kuacha mara moja kukusanya mapato ya serikali kwa kutumia risiti za kuandika kwa mkono, badala zitumie mfumo wa serikali mtandao.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
MBUNGE JUMAA AUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUTOA MSAADA KUJIKINGA NA CORONA


Ndoo hizo pamoja na sabuni zimekabidhiwa katika Kituo cha Afya cha Mlandizi ili zisambazwe kwenye vituo vya Afya, Zahanati zote ,kwa wafanya biashara sokoni pamoja Standi ili kupambana na homa ya Corona.
Jumaa aliwataka wananchi wa...
11 years ago
Vijimambo
BALOZI OMBENI SEFUE AIUNGA MKONO JENGA

5 years ago
Michuzi
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO


10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Marufuku kutoa wafanyakazi wa nyumbani UG
10 years ago
Mtanzania15 Oct
Sefue: Serikali inapita katika kipindi kigumu
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema Serikali inapitia kipindi kigumu kutokana na mfululizo wa vifo vya mawaziri wake.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana baada ya kuupokea mwili wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda uliowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 9.00 alasiri kwa ndege ya Emirates kutoka New Delhi India.
Alikuwa ameongozana na viongozi wengine akiwamo Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mkuu wa...
11 years ago
Ykileo
SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.

Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...
10 years ago
Mwananchi08 Aug
NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Wananachi wahimziwa kudai risiti
WANANCHI wametakiwa kudai risiti kila wakati wanaponunua bidhaa au kupata huduma ili kuweka uwiano mzuri wa ulipaji kodi na ushindani wa biashara. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam jana...
11 years ago
Habarileo01 Sep
Wafanyabiashara waiba kwa risiti feki
UHAKIKI wa matumizi ya mashine maalumu za risiti za kielektroniki (EFDs) umebaini udanganyifu na wizi miongoni mwa wafanyabiashara wakiwemo baadhi wanaodaiwa kuwapa wateja risiti zenye kiwango pungufu na kiasi kilichotolewa.