Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuhusu CHAUKIDU na Mipango ya April 2015

Ndugu Wadau na Wakereketwa wa Lugha ya Kiswahili.

Pamoja na Salamu za Mwaka Mpya, napenda kuchukuwa fursa hii kuambatanisha kumbukumbu za mkutano uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania mjini Washington DC mwezi Septemba mwaka jana. Tunaomba radhi sana sana kwa kuchelewesha kuwatumieni kumbukumbu hizi. Hata hivyo Waswahili wanasema "Chelewa ufike". Ni matumaini yangu kwamba utapata muda wa kuzipitia na kujihabarisha kuhusu mipango inayoandaliwa ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MHESHIMIWA ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWA MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA CHAUKIDU APRIL 23

 Rais Mstaafu Ali Hassan MwinyiNjoo ujumuike na wapenzi wa Lugha ya Kiswahili pamoja na kupata chakula cha Kiafrika, vinywaji, burudani ya muziki kutoka kwa gwiji Master DJ Luke na maonyesho kadhaa ya wasanii, wakiwemo Anna Mwalagho na AJ Ubao, katika Tamasha la kipekee Washington DC, April 23, 2015.
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411(Tumaini), 301-793-2833 (Asha) na 202-830-6555 (Dr. Magembe) kununua tiketi moja kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA CHAUKIDU TAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DC

Njoo upate chakula cha uhakika (African Buffet Style), vinywaji, burudani murua ya muziki kutoka kwa gwijiMaster DJ Luke na maonyesho kadhaa ya wasanii, akiwemo msanii kutoka Kenya Anna Mwalagho, katika Tamasha la kipekee April 23, 2015 kwa Dola 25 tu! Mgeni Rasmi wa Heshima na Taadhima ya Kipekee kutoka Tanzania atakuwepo kubariki Tamasha hili.
Mwana DMV, nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411 (Tumaini), 301-793-2833...

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA TAMASHA LA CHAUKIDU TAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DC


HOLLYWOOD BALLROOM – SILVER SPRING, MARYLAND

(MUDA/SAA)

12:00 - 1:00

Kuwasili kwa Wanachama na Wageni Waalikwa

Washiriki Wote

Hollywood Ballroom

1:15-1:25

Ukaribisho Rasmi na maelezo kuhusu CHAUKIDU

Mkurugenzi wa CHAUKIDU-Dr. L. Muaka

Hollywood Ballroom

1:30-2:30

CHAKULA CHA JIONI

- Shairi (Anna Mwalagho)

- Wimbo - Kizazi Kipya (AJ Ubao)

- Kanga Fashion Show (Ma Winny)

MC / Mhudumu wa Chakula / Wasanii

Hollywood Ballroom

2:30-2:45

...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia tarehe 24 April 2015.

Afisa Masoko na Mahusiano wa Proin Promotions Ltd, Josephat Lukaza akizungumzia Uzinduzi wa msimu wa pili wa Shindano la TMT 2015 lililopo chini ya Kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao pia ni wasambazaji, wauzaji na watengenezaji wa filamu za Kitanzania. Anayeshuhudia pembeni ni Mratibu wa Masoko wa ITV/Radio One ambao ni mmoja wa wadhamini wa Shindano la TMT 2015.   Mratibu wa masoko kutoka ITV/Radio One (wa pili kulia) akizungumzia juu ya umuhimu wa wao ITV/Radio one kuwa washirika wa...

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDU TAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DC CHUO KIKUU CHA HOWARD — WASHINGTON DC

RATIBA YA MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDUTAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DCCHUO KIKUU CHA HOWARD – WASHINGTON DC
MUDA/ SAATUKIOWAHUSIKAMAHALA2:00-3:00ASUBUHIKuwasili, kujiandikisha kwa washiriki wa mkutano  (Chai / Kahawa)Washiriki wote Howard University3:00-3:30Ukaribishaji wa WashirikiMkurugenzi wa ChaukiduHoward University3:30-4:00Ufunguzi Rasmi wa MkutanoRais wa ChaukiduHoward University4:00-5:30Kikao cha 1 – Mawasilisho ya Mada mbali mbali kutoka kwa Wanazuoni Mratibu – Leonard...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya Asema yupo SERIOUS kuhusu mipango ya ndoa na Jaguar


Mwanadada Irene Uwoya amesema ingawa Jaguar alishindwa kuja kuzungumza na wazazi wake kuhusu ndoa yao, bado wanawasiliana vizuri na kila kitu kipo sawa.
Akizungumza na Mpekuzi, Irene amesema mahusiano yake na Jaguar yapo japo hajafanya maamuzi ya kuolewa.
 
“Jaguar hakuja kuna vitu ambavyo vilitokea vikasababisha asije,”amesema mrembo huyo.
  
 “Kila siku naongea naye na uamuzi wake upo pale pale. Mimi mwenyewe bado sijafanya maamuzi ya kusema niolewe lakini akija ndo tutaongea kila...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani