‘Kuitaka Z’bar ifumue Katiba yake ni hatari’
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Khatibu Said Haji, amesema Tanzania ipo hatarini kuingia katika mgogoro mkubwa wa Kikatiba, kama Serikali ya CCM itaendelea kushinikiza Muundo wa Serikali mbili, kwani kwa Zanzibar ni jambo ambalo haliwezekani tena.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba
11 years ago
Mwananchi26 Jun
‘Kuna hatari naziona Mchakato wa Katiba’
10 years ago
TheCitizen13 Dec
Katiba triggers tension in Z’bar
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Kinana: Tujilaumu kwa Katiba Z’bar
10 years ago
VijimamboMaalim Seif: Z`bar hatuikubali Katiba
Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa CUF ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Demokrasia vya Kibanda Maiti, mjini Zanzibar.
“Wananchi,...
10 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Shein: Z’bar ilishirikishwa mchakato wa Katiba
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Dr.-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema tangu kuanza kwa mchakato wa kuandika Katiba mpya, uongozi wa visiwa hivyo ulishirikishwa kila hatua.
Akizungumza mjini Dodoma jana, Dk. Shein alisema pia kupatikana kwa Katiba hiyo inayopendekezwa kumesaidia kumaliza kero zote za Muungano zilizokuwapo.
“Matukio yote ambayo yalikuwa...
11 years ago
TheCitizen26 Feb
Z’bar Katiba members get Sh420,000 daily
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mjumbe Bunge la Katiba avuliwa uanachama Z,bar
10 years ago
Mtanzania24 Sep
Siri ya AG Z’bar kujiuzulu Bunge la Katiba yabainika
![Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Othman-Masoud-Othman.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman
NA WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
SIRI ya Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman kujiuzulu ujumbe wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, imebainika.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Kamati ya Uandishi ya Bunge hilo, kililiambia MTANZANIA kuwa wakati vikao vya kamati hiyo vikiendelea, Othman alipendekeza mambo 17 yenye maslahi kwa Zanzibar yaingizwe ndani ya...