Kutafuta meneja wakati una single moja ni dalili ya uvivu-AY
Ambwene Yessayah aka AY amewataka wasanii wachanga kuacha kutafuta watu wa kusimamia muziki wao, bali watengeneze kwanza connection zao wenyewe.
Rapa huyo mwenye kampuni ya Unity Entertainment ya kusimamia wasanii, amekiambia kipindi cha Mkasi kinachoruka kupitia EATV, kuwa anashangaa kuona msanii ana ‘single’ moja lakini anatafuta meneja wakati alitakiwa kujijenga mwenyewe.
“Sasa hivi mtu hana hata single au ana single moja, hajapata experience ya kutengeneza hit song nne ili kujipima yeye...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Uvivu una madhara gani kwa watoto?
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Rais KIkwete: Uvamia wa polisi una dalili za ugaidi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gt3rR6blBkk/VfL9H9Oe92I/AAAAAAAH4F4/msGtYzjG7EY/s72-c/c.png)
NEWS ALERT: VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-gt3rR6blBkk/VfL9H9Oe92I/AAAAAAAH4F4/msGtYzjG7EY/s640/c.png)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa taarifa kuwa kuanzia leo tarehe 10 Septemba 2015, na katika kipindi chote cha kampeni za uchaguzi mkuu 2015, watu ambao sio wagombea wa udiwani, ubunge, urais, wasemaji rasmi wa vyama au watu wasioteuliwa na vyama vya siasa kama wawakilishi hawataruhusiwa kushiriki katika vipindi vya moja kwa moja (Live Programmes) vinavyohusu shughuli za uchaguzi vitakavyorushwa na vituo vya utangazaji.
Utaratibu huu unazingatia Kanuni Za Huduma Za...
10 years ago
Bongo525 Oct
Iggy Azalea aonesha dalili za kutotaka kufanya collabo na Snoop Dogg, aachia single mpya ‘Beg For It’ (Audio)
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Mjamzito atembea kilometa mia moja kutafuta msaada
Na Nathaniel Limu
MKULIMA mkazi wa kijiji cha Ighombwe wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Esther Jilala (16),amelazimika kutembea umbali wa kilometa zaidi ya mia moja kutafuta msaada baada ya kuchoka kunyanyaswa na kupigwa kila siku mume wake.
Esther ambaye kwa sasa ana mimba ya miezi mitatu,alitembea umbali huo kwa siku mbili mfululizo.
Imedaiwa siku moja kabla ya kufanya maamuzi magumu ya kutoroka,alipigwa vibaya na mume wake Michael Luhenga, kwa kumutuhumu kuwa aliachia ndama wanyonye...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I9uEJesv44M/VfVm59cJTMI/AAAAAAAH4VY/HZ414ZWboT8/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015 KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-I9uEJesv44M/VfVm59cJTMI/AAAAAAAH4VY/HZ414ZWboT8/s200/index.jpg)
mkuu. Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-L-BOnQTtvXQ/VR8fDcYtZKI/AAAAAAADepI/rCcozJ3OdgM/s72-c/1d6d1cad499e90613581a2c909faa8f0%2B(2).jpg)
"WAKATI MWINGINE USIRI UNA BARAKA ZAIDI.....ALHAMDULILAH' HAYO NDIO MANENO YA DIAMOND KUASHIRIA HARUSI YAKE NA ZARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-L-BOnQTtvXQ/VR8fDcYtZKI/AAAAAAADepI/rCcozJ3OdgM/s1600/1d6d1cad499e90613581a2c909faa8f0%2B(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L-F8Nrsq7p0/VR8fDd-k-7I/AAAAAAADepE/Zom4QcpNOXs/s1600/8e5eaca18e378874944d98b277fef038%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JZTxrkkibHs/VR8fDWbloII/AAAAAAADepM/0NLeuSwpfIg/s1600/fd1918c1ea9148de7504e6bd026a1b5a%2B(2).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Kutoka Single moja hadi ya Moto Band
“KUKUPENDA imekuwa kero, na kuja kunitenda mwana wa mwenzio, nachofanya mi sikioni ila masikio yanasikia we x 2. Kukupenda nakupenda kweli ahaa sikatai, uwepo wako ni mzuri, maishani nafurahi x...
10 years ago
Vijimambo24 Jun
MAWAKALA WA FORODHA NCHINI WAASWA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA HIMAYA MOJA YA FORODHA YA AFRIKA MASHARIKI ( SINGLE CUSTOM TERRITORY )
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1280.jpg)