Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa aibu kama hii, mawaziri wabaki ofisini?

SERIKALI ya Tanzania imepata aibu kutokana na kutafunwa kwa sh milioni 644 za nchi sita za wahisani zilizotolewa kugharamia awamu ya pili ya Mpango wa Maboresho ya Serikali za Mitaa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mfumuko wa bei wabaki kuwa asilimia 6.4 kama ilivyokuwa mwezi Julai, 2015

PICHA NO. 2

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari  jana Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2015 ambao umebaki kuwa asilimia 6.4 kama ilivyokuwa mwezi Julai mwaka huu. (PICHA ZOTE NA VERONICA KAZIMOTO).

PICHA NO. 1

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari  leo Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2015 ambao umebaki kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuone aibu kwa matukio kama haya

Matukio ya waamuzi wa soka kupigwa wakati wakichezesha mechi Ligi Daraja la Kwanza yanaonekana kukosa tamati. Hivi sasa ni jambao la kawaida mwamuzi kupigwa wakati akiwa kazini

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri wapya watinga ofisini na rundo la ahadi

>Mawaziri waliobadilishwa wizara na Rais Jakaya Kikwete, wameingia ofisini na kuahidi kutumia muda mfupi uliobaki kuendeleza yale yaliyoachwa na watangulizi wao.

 

9 years ago

MillardAyo

Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote

Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]

The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Ni aibu michezo kujiendesha kama yatima

Ni dhahiri kwamba nchi yetu itasubiri kwa muda mrefu kabla ya kuanza kuchuma kutoka kwenye sekta ya michezo inayoonekana wazi haina mwenyewe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hii ni aibu ya Bunge la Katiba

NIMESHAWISHIKA kuandika mtazamo huu kutokana na kushindwa kuwaelewa watu wanaoitwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Sina shaka na Rais Jakaya Kikwete kuwateua wajumbe hao, lakini kwa matendo yao nalazimika...

 

10 years ago

Mtanzania

Butiku: Hii ni siku ya aibu

Joseph ButikuBaada ya vurugu hizo kuisha Jaji Warioba hakurejea na badala yake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, alisimama na kuiita siku ya aibu kwa Watanzania.

Alisema tukio la vurugu ndani ya ukumbi wa mdahalo huo limeshuhudiwa na Watanzania nchi nzima.

“Baadhi ya wahuni waliofanya tukio hilo tunawatambua hivyo katika mikutano yetu ijayo hatutawaruhusu kushuhudia midahalo yetu,” alisema.

Butiku alisema kuwa tukio hilo halitakuwa mwisho wa kuendelea kwa midahalo ya...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Aibu hii Dar mpaka lini?

TAKRIBAN watu watano wameripotiwa kufa kwa ugonjwa wa kipindupindu wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, huku wengine 34 wakiugua ugonjwa huo.

Kwa mujibu wa taarifa, wagonjwa hao wanatoka maeneo ya Kijitonyama, Kimara, Manzese, Tandale, Saranga, Makumbusho, Kimara na Mwananyamala.

Imezoeleka ugonjwa huu kuibuka wakati wa msimu wa mvua kutokana na mazingira kwa kipindi hicho kuwa machafu kwa sababu ya majitaka yanayozagaa ovyo mitaani.

Hata hivyo, kipindupindu ni ugonjwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani