Kwa aibu kama hii, mawaziri wabaki ofisini?
SERIKALI ya Tanzania imepata aibu kutokana na kutafunwa kwa sh milioni 644 za nchi sita za wahisani zilizotolewa kugharamia awamu ya pili ya Mpango wa Maboresho ya Serikali za Mitaa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Mfumuko wa bei wabaki kuwa asilimia 6.4 kama ilivyokuwa mwezi Julai, 2015
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2015 ambao umebaki kuwa asilimia 6.4 kama ilivyokuwa mwezi Julai mwaka huu. (PICHA ZOTE NA VERONICA KAZIMOTO).
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2015 ambao umebaki kuwa...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Tuone aibu kwa matukio kama haya
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Mawaziri wapya watinga ofisini na rundo la ahadi
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
10 years ago
Mwananchi22 Jun
MAONI : Ni aibu michezo kujiendesha kama yatima
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1j5JkbsFB30/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Hii ni aibu ya Bunge la Katiba
NIMESHAWISHIKA kuandika mtazamo huu kutokana na kushindwa kuwaelewa watu wanaoitwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Sina shaka na Rais Jakaya Kikwete kuwateua wajumbe hao, lakini kwa matendo yao nalazimika...
10 years ago
Mtanzania03 Nov
Butiku: Hii ni siku ya aibu
Baada ya vurugu hizo kuisha Jaji Warioba hakurejea na badala yake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, alisimama na kuiita siku ya aibu kwa Watanzania.
Alisema tukio la vurugu ndani ya ukumbi wa mdahalo huo limeshuhudiwa na Watanzania nchi nzima.
“Baadhi ya wahuni waliofanya tukio hilo tunawatambua hivyo katika mikutano yetu ijayo hatutawaruhusu kushuhudia midahalo yetu,” alisema.
Butiku alisema kuwa tukio hilo halitakuwa mwisho wa kuendelea kwa midahalo ya...
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Aibu hii Dar mpaka lini?
TAKRIBAN watu watano wameripotiwa kufa kwa ugonjwa wa kipindupindu wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, huku wengine 34 wakiugua ugonjwa huo.
Kwa mujibu wa taarifa, wagonjwa hao wanatoka maeneo ya Kijitonyama, Kimara, Manzese, Tandale, Saranga, Makumbusho, Kimara na Mwananyamala.
Imezoeleka ugonjwa huu kuibuka wakati wa msimu wa mvua kutokana na mazingira kwa kipindi hicho kuwa machafu kwa sababu ya majitaka yanayozagaa ovyo mitaani.
Hata hivyo, kipindupindu ni ugonjwa...