Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWA SISI TULIEKULIA MITAA YA KATI HIZI ZIMETUKUTA SANA

Polisi wanavyoamua kusanyakusanya mitaani nakukuambia mikono kichwani na mashati kufungwa safari kituoni kuingia bure kutoka mfuko wako bongo hiyo kwa sisi wakitaa hizi zimetukumba sana tu jikumbushe na wewe.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KWA WALE TULIEKULIA VIJIJI VYA UJAMAA HIZI NDIYO ZETU

Kwani hata baiskeli kwetu ilikuwa ni shida kuweza kuruhusiwa kuendesha basi tulijiliwaza kupitia humu kiroho safi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Hizi za Lulu Zimependwa Sana Leo Huko INSTA

Baada ya kuifunga akaunti yake kwenye mtandao picha wa Instagram iliyokuwa na followers zaidi ya laki nne, na kuamua kufungua tena akaunti kwenye mtandao huo, staa mrembo wa Bongo Movies, Elizaberth Michael ‘Lulu’ ametupia picha hizi mpya kwenye ukarara wake huo mpya  unaopatikana kwa anuani ya @ elizabethmichaelofficia kitendo ambacho kimewavutia mashabiki wengi waliommiss mrembo huyo ambaye ni mpenzi wa fasheni.

Mashabiki wengi wamemsifia kwa kutokeleza bomba na kuonyesha furaha zao kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

JK ingilia kati hujuma hizi uuzwaji wa korosho

Serikali, baada ya kuona ubabaishaji katika ununuzi wa korosho unaofanywa na wanunuzi binafsi, iliamua kuondoa mpango kununua zao hilo moja kwa moja kutoka kwa wakulima vijijini.

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kati ya Picha Hizi Nne za Mzee Majuto Ipi ni Kali Zaidi?

PICHA ni kumbukumbu muhimu katika maisha, hufurahisha na kuburudisha na wakati mwingine uhudhunisha pia ilimradi tu maisha yanasonga mbele. Leo kutoka kwenye maktaba yetu ya picha, tumekutana hizi picha nne za mwigizaji nguli wa filamu za vichekesho hapa nchini, Amri Athuman'King Majuto' ukipenda muite Mzee Majuto alizopiga na waigizaji hawa wakike, Wema Sepetu, Riyama Ally,Kajala Masanja na Jackline Masawe “Wolper”.

Zote ni nzuri lakini wewe umeipenda ipi?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani