Kwani ukisifu kulia, maana yake ni kusuta kushoto
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-z2c1oZEL0_Q/U9zDYtpNS-I/AAAAAAAAA9c/RDMc9RJCRWM/s72-c/Tears.jpg)
TOFAUTI YA CHOZI LA JICHO LA KUSHOTO NA KULIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-z2c1oZEL0_Q/U9zDYtpNS-I/AAAAAAAAA9c/RDMc9RJCRWM/s1600/Tears.jpg)
Binadamu akilia machozi, chozi la kwanza likitoka kwenye jicho la kulia ni ishara ya furaha na chozi la kwanza likitoka kwenye jicho la kushoto ni ishara ya huzuni na uchungu.
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Oya jombaa… usifosi kiatu cha kushoto mguu wa kulia!
Inakuwaje wakali wangu wa nguvu? Oya masela barida? Basi kipande hii haina kwikwi chaliiangu. Ni mpango mzima makachaa wangu.
Ebana maandalizi ya kitu cha mnuso wa Eksimasi kwani vepee? Maana kama sielewielewi f’lani hivi. Naona pipo wapo bize kinoma hata hatupeani michongo kama ishu inakuwaje wazazi? Bati freshi hata kama chama langu hana kitu masti kitu cha holidei kihapeni.
Tangu tulipomingo lasti wiki kumekrosi mambo kibwena hadi tudei tunamiti hapa kwa fasi ya jamvini. Wanangu Saa Godi...
9 years ago
Vijimambo15 Oct
CCM WANAENDELEA KUPIGA KUSHOTO NA KULIA,MWIGULU NDANI YA KAHAMA ,USHETU NA MSALALA HII LEO
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xla1/v/t1.0-9/12115524_433809160154651_3044825052666386539_n.jpg?oh=8cddf12d7f4c1a0d61feee763b00b71d&oe=5697ABDD&__gda__=1456553584_a69697773a7a94af699dce48f1ea7770)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-9/12088004_433809183487982_6009895062334352763_n.jpg?oh=c3334863a3233f95a291e38a26689a15&oe=5699309F&__gda__=1455779995_bbd8e190f784e4fe4c6b832d898ccc6b)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-HhLse75SmIMm0-FDKAGXBKRRoDkqjkDd36sKXp6a1XzL5vUreVc0yM3ACp5xSlyhHMFYh3WcWtnY3ruWL2JAo/Love.jpg)
VALENTINES DAY IMEFIKA, TUSIPOTOSHE MAANA YAKE
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba
Tumekuwa tukitoa elimu muhimu juu ya afya zetu kupitia makala mbalimbali katika ukurasa huu, leo ningependa nianzishe mada muhimu na yenye mguso mkubwa kwa jamii ya wanaume wa karne hii ya sasa.
Tatizo la nguvu za kiume limekuwa likiwasumbua wanaume wengi na limekuwa ni chachu ya kuvunjia kwa ndoa nyingi. Japokuwa tatizo hili linatibika na mtu akareje katika hali yake ya kawaida, wanaume wengi wamekuwa wakiona aibu kufika katika vituo vya tiba au kuonana na matatibu ili kupata ufumbuzi wa...
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba-2
Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume linaweza kuwa na sababu za kihisia Emotional Causes lakini sababu nyingine hutokana na maradhi kama vile kisukari na shinikizo la juu la damu.
Inakadiriwa kuwa asilimia 50 hadi 60 ya wanaume wenye maradhi ya kisukari wana tatizo la uume kushindwa kusimama. Watu wanaosumbuliwa na kiharusi na ulevi nao wana hatari kubwa sana kwa sababu ya uharibifu wa korodani Testicles kutokana na ulevi sugu na kupoteza Testerone. Pombe hupunguza kwa kiasi kikubwa...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba-3
Wiki iliyopita tuliangalia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na tuliangalia utangulizi wa mada hii, leo ningependa kuendelea na vyanzo vinavyosababisha tatizo hilo.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazosababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume walio wengi:
Kujichua kwa muda mrefu
Mtu anapojichua anakuwa anaiminya mishipa inayosababisha kusimama kwa uume, baada ya muda fulani, mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea hivyo linapokuja suala la kusimamisha uume, mwanaume husika anakuwa...
9 years ago
Bongo519 Nov
Mwana FA adai Hip hop imepoteza maana yake
![11249868_666551486778035_1351011407_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11249868_666551486778035_1351011407_n-300x194.jpg)
Mwana FA amesema hawezi kuwaunga mkono wasanii wanaopoteza misingi ya muziki wa Hip Hop kwa sababu ya kutengeneza pesa na kuacha changamoto zinazowakabili watanzania
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, FA alisema sio lazima kwa msanii kufanya kitu ambacho hana uhakika nacho, hata kama kinaingiza pesa nyingi.
“Iko so obvious muziki umebadilika sana, umetoka katika ile misingi iliyowekwa na sababu zake za kuwepo, umekuwa kuhusu starehe na hela peke...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/O5mD72kiuAc/default.jpg)