Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TOFAUTI YA CHOZI LA JICHO LA KUSHOTO NA KULIA


Binadamu akilia machozi, chozi la kwanza likitoka kwenye jicho la kulia ni ishara ya furaha na chozi la kwanza likitoka kwenye jicho la kushoto ni ishara ya huzuni na uchungu.

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Kwani ukisifu kulia, maana yake ni kusuta kushoto

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

9 years ago

Global Publishers

Oya jombaa… usifosi kiatu cha kushoto mguu wa kulia!

Inakuwaje wakali wangu wa nguvu? Oya masela barida? Basi kipande hii haina kwikwi chaliiangu. Ni mpango mzima makachaa wangu.

Ebana maandalizi ya kitu cha mnuso wa Eksimasi kwani vepee? Maana kama sielewielewi f’lani hivi. Naona pipo wapo bize kinoma hata hatupeani michongo kama ishu inakuwaje wazazi? Bati freshi hata kama chama langu hana kitu masti kitu cha holidei kihapeni.

Tangu tulipomingo lasti wiki kumekrosi mambo kibwena hadi tudei tunamiti hapa kwa fasi ya jamvini. Wanangu Saa Godi...

 

9 years ago

Vijimambo

CCM WANAENDELEA KUPIGA KUSHOTO NA KULIA,MWIGULU NDANI YA KAHAMA ,USHETU NA MSALALA HII LEO

Mwigulu Nchemba Mjumbe wa kamati ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi akimnadi Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Msalala Ndg.Maige."Ilani ya Chama cha Mapinduzi imeweka bayana kuwa itajenga Reli ilikurejesha huduma za Kiuchumi zilizosimama kwa muda,Kwa hapa Msalala ujenzi wa Bandari kavu utaanza mapema baada ya kuanza kwa matumizi ya reli kama alivyoahidi magufuli.Hivyo wananchi mchagueni Magufuli akasimamie Ujenzi wa Reli,Ujenzi wa bandari kavu,Ujenzi wa barabara ya Rami kutoka Msalala kwenda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba limeanza kwa mguu wa kushoto!

NILIKUWA nasoma makala ya mwandishi Majid Mjengwa. Ilinikumbusha mbali sana. Ilinikumbusha hadithi aliyowahi kuitoa hayati Baba wa Taifa. Ni simulizi fupi ambayo Mjengwa aliitoa  akishiriki naye mjadala wa kinachoendelea Dodoma,...

 

11 years ago

Mwananchi

Akupigaye risasi mkono wa kuume, mpe amalizie wa kushoto

Siku za nyuma mtangazaji mahiri wa michezo wa zamani wa Redio Tanzania, Charles Hillary (sasa yupo BBC London) alishindwa kutamka jina la mchezaji. Siku hiyo Timu ya Tanzania ilipambana na timu ya Ghana katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Steve Kilindo (kushoto). (Na Mpigapicha Wetu). RCC yapendekeza jimbo jipya la Ilula

KAMATI ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa (RCC) imeridhia jimbo la Kilolo ligawanywe kutoa jimbo jingine la Ilula, kwa lengo la kurahisisha ufikishaji wa huduma bora kwa wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wazidi kulia na Warioba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kuilaumu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuandika rasimu iliyojaa mawazo ya wajumbe wake waliotaka muundo wa serikali tatu. Lawama hizo zilitolewa jana na...

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Wazidi kulia na ugumu wa biashara

Na Amiri Kilagalila, Njombe
Hali ya biashara kwa wakazi wa mji wa Njombe imetajwa kuwa kwenye mkwamo kutokana na Ongezeko la kodi hasa katika ukadiriaji wa kodi hatua inayowalazimu baadhi ya wafanyabiashara kufunga milango yao.
Katika mkutano wa kwanza mwaka 2020 wa jumuiya ya wafanyabiashara mjini Njombe,baadhi ya wafanyabiashara akiwemo Agnetha Sanga na Nathaniel mgani wanakiri kuwa hali ya biashara kwa sasa imekuwa ngumu na mauzo kupungua kwa kiasi kikubwa.
Kutokana na hali hiyo serikali...

 

10 years ago

GPL

CHID BENZI AKIRI KULIA STUDIO

Stori: Mwandishi Wetu
RAPA mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz, amekiri kutoa machozi wakati wa mahojiano redioni baada ya kupatwa na hisia kali, akikumbuka mambo mbalimbali ya maisha. Rapa mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz (kushoto) akiwa na 'Diamond'.
“Nilikuwa namzungumzia Diamond, alinikumbusha mambo mengi, ni mchapakazi, anajituma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani