Oya jombaa… usifosi kiatu cha kushoto mguu wa kulia!
Inakuwaje wakali wangu wa nguvu? Oya masela barida? Basi kipande hii haina kwikwi chaliiangu. Ni mpango mzima makachaa wangu.
Ebana maandalizi ya kitu cha mnuso wa Eksimasi kwani vepee? Maana kama sielewielewi f’lani hivi. Naona pipo wapo bize kinoma hata hatupeani michongo kama ishu inakuwaje wazazi? Bati freshi hata kama chama langu hana kitu masti kitu cha holidei kihapeni.
Tangu tulipomingo lasti wiki kumekrosi mambo kibwena hadi tudei tunamiti hapa kwa fasi ya jamvini. Wanangu Saa Godi...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.ComTOFAUTI YA CHOZI LA JICHO LA KUSHOTO NA KULIA
Binadamu akilia machozi, chozi la kwanza likitoka kwenye jicho la kulia ni ishara ya furaha na chozi la kwanza likitoka kwenye jicho la kushoto ni ishara ya huzuni na uchungu.
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Kwani ukisifu kulia, maana yake ni kusuta kushoto
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Bunge la Katiba limeanza kwa mguu wa kushoto!
NILIKUWA nasoma makala ya mwandishi Majid Mjengwa. Ilinikumbusha mbali sana. Ilinikumbusha hadithi aliyowahi kuitoa hayati Baba wa Taifa. Ni simulizi fupi ambayo Mjengwa aliitoa akishiriki naye mjadala wa kinachoendelea Dodoma,...
9 years ago
Vijimambo15 Oct
CCM WANAENDELEA KUPIGA KUSHOTO NA KULIA,MWIGULU NDANI YA KAHAMA ,USHETU NA MSALALA HII LEO
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Ronaldo atwaa kiatu cha dhahabu
11 years ago
GPLNEYMAR ATAKAVYOBEBA KIATU CHA DHAHABU
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Kiatu cha dhahabu chanukia kwa Samatta
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Jaja aota kutwaa kiatu cha dhahabu Ligi Kuu