Kwanini usingizie foleni unapochelewa nyumbani?
WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam bila shaka wanaelewa ni jinsi gani barabara zetu zilivyo na msongamano (foleni) kiasi cha kusababisha watumiaji wa barabara hizo kushindwa kupangilia shughuli zao....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...
11 years ago
Vijimambo
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!

11 years ago
Michuzi28 Aug
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Abiria wanavyokwepa foleni TZ
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Tanroads kukabili foleni
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Foleni za magari mipakani
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
Foleni ya wagonjwa ni tatizo
Na Happiness Mtweve, Dodoma
KITENGO cha Mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya mkoani hapa, kimeelemewa na wagonjwa huku ikiwa na mashine moja.
Daktari Bingwa wa Mionzi, Philimon Saigodi, aliwaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, kuwa hiyo imekuwa kero kubwa kwa wagonjwa.
Alisema wanahudumia wagonjwa 60 mpaka 70 kutoka katika mikoa ya Singida, Dodoma na wilaya za Kiteto na Manyoni.
Alisema kitengo hicho ni kikubwa na kina wagonjwa wengi, ambao wanaongezeka siku hadi siku, hivyo...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Foleni yazua maradhi mapya
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wamachinga kwenye foleni kuondolewa
MKURUGENZI wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amewataka wafanyabiashara wadogo (wamachinga) wanaouza bidhaa kwenye magari wakati wa foleni watafute maeneo rasmi, vinginevyo watakumbwa na operesheni safisha jiji inayoendelea....