Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lady in Red kuadhimisha miaka 10 Valentine’s Day

WABUNIFU mbalimbali wanatarajiwa kupamba miaka 10 ya onesho la mavazi lijulikanalo kama Lady in Red Super Brand linalotarajiwa kufanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, Siku ya Wapendanao ‘Valentine’s...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RED CARPET YA VALENTINE'S DAY DAR LIVE

Hassan Moshi TX William Mfalme Mzee Yusuf
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halfa ya Miaka 10 ya Lady in Red yafana

HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya Onesho la Mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’ ilifana juzi usiku kwa kuvutia watu mbalimbali ndani ya Ukumbi wa Nyumbani Lounge...

 

11 years ago

GPL

MIAKA 10 YA ONYESHO LA MITINDO LADY IN RED‏

Miaka 10 ya onyesho la ‘Lady in red’ Februari 14
Wabunifu mbalimbali kupamba.
Wanne Star, Babloom Trio Band kutumbuiza WABUNIFU mbali mbali kupamba  miaka 10 ya onyesho la mavazi lijulikanalo kama ‘Lady in Red Super  brand, 10th Anniversary’  linalotarajiwa kufanyika Februari  14,  ambapo pia litatumbuizwa na burudani kutoka kwa  Babloom Trio bendi na Wanne Star, kwenye Hoteli ya...

 

11 years ago

Michuzi

KILELE CHA MIAKA 10 YA ‘LADY IN RED’ KUFANYIKA NYUMBANI LOUNGE JUMAMOSI HII


.Kutolewa vyeti maalum ..wadau kukata keki ya pamoja ..Slim kutumbuiza
Na Andrew Chale KILELE cha Miaka 10  na ‘After Party’ ya onesho la mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’ kinatarajia kufikia tamati usiku wa Jumamosi, Februari 22, ndani ya Ukumbi ulio na mgahawa wa kisasa wa hadhi jijini  Dar es Salaam, wa Nyumbani Lounge, huku kukitarajiwa kuwa na surprise mbali mbali kwa wadau watakaojitokeza. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions,  Asia Idarous Khamsin, wandaaji wa Lady in...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

LADY IN RED 2015

Ni tukio ambalo lili wakusanya wapenzi mbalimbali wa mitihndo hapa Tanzania na nje ya nchi ikiwa ni pamoja na Mh. Shy-Rose ambaye naye alikuwepo kwenye 'Lady in red' 2015 ambayo imefanyika 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day pale Nyumbani Lounge, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni huyo Mbunge wa bunge la Africa Mashariki mh Shy-Rose Banji.
Muandaaji wa tukio hilo ni mwanamitindo mkubwa hapa nchini Asya Idarous Khamsin ambaye naye aliweza kuonyesha mavazi yake ya yenye rangi nyekundu,...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani