Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LAPF yalipa mafao ya bil.55.8/-

Sayi LulyalyaKIASI cha Sh bilioni 55.8 kimelipwa na Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa(LAPF) kwa wanachama wake 2,459.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

PSPF yalipa mafao ya trilioni 2.83/-

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umelipa Sh trilioni 2.83 za mafao kwa wanachama wake kuanzia mwaka 2004 hadi Desemba mwaka jana.

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yalipa walimu bil 1.9/-

Asifiwe George na Imani Nathaniel (RCT), Dar es Salaam

CHAMA cha Walimu Tanzania Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema Serikali imeanza kulipa deni la madai ya walimu kiasi cha Sh 1,936,572,146.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CWT wa mkoa huo, Amina Kisenge, alisema kwa kipindi cha  kuanzia mwaka 2013 hadi Julai 2015 walikuwa wanaidai Serikali kiasi cha Sh 3,916,432,471.

Alisema kwa sasa deni lililobaki ni Sh  1,979,860,325 ambazo bado walimu wanadai.

Alisema pamoja na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pato LAPF lafikia bil. 167/-

MFUKO wa Pensheni wa LAPF umekua kwa asilimia 12 ya pato lake na kufikia makusanyo ya michango na faida ya uwekezaji sh bilioni 167.9 mwaka 2012/13 ikilinganishwa na sh bilioni...

 

10 years ago

Habarileo

NHIF yalipa bil. 5/- za Tele kwa Tele

Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa CHF, Rehani AthumaniMFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umeshalipa halmashauri mbalimbali zaidi ya Sh bilioni 5 kama mchango wa serikali katika mfumo wa tele kwa tele.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

9 years ago

Habarileo

‘Serikali yalipa madeni yote ya walimu’

SERIKALI imetoa ufafanuzi kuhusu madeni ya walimu kwa kusema imeshalipa yote ya mwaka jana na kwa mwaka huu, orodha inaandaliwa. Orodha kwa ajili ya madeni ya mwaka huu, inasubiriwa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi) kabla ya malipo kufanyika.

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM YALIPA KODI YA SHILINGI BILIONI 46.4



Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza,akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi hao kuhusiana na mwelekeo wa kampuni ambapo pia alitoa takwimu za malipo ya kodi serikalini 2014/2015,Vodacom imelipa kodi ya mapato inayofikia shilingi bilioni 46.4 na kukusanya kodi ya mapato, kwa niaba ya serikali kodi ya ongezeko la thamani (VAT) zaidi ya shilingi bilioni 108.6 na Kodi ya zuio inayofikia kiasi cha shilingi bilioni 81.5. kwa mwaka wa fedha uliomalizika...

 

11 years ago

Habarileo

Mabasi yalipa 65,000/- kupuliza dawa ya dengue

MABASI yaendayo mikoani yanalipa Sh 65,000 kwa ajili ya kupuliza dawa ndani ya magari hayo ikiwa ni hatua ya kupambana na ugonjwa wa dengue nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TNBC yalipa somo Baraza la Biashara Manyara

WAJUMBE wa Baraza la Biashara la Mkoa wa Manyara wameshauriwa kuchapa kazi kwa bidii na kuongeza ushirikiano miongoni mwao, ili kusaidia kujenga mazingira bora ya biashara na uwekezaji mkoani hapa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani