PSPF yalipa mafao ya trilioni 2.83/-
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umelipa Sh trilioni 2.83 za mafao kwa wanachama wake kuanzia mwaka 2004 hadi Desemba mwaka jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 May
LAPF yalipa mafao ya bil.55.8/-
KIASI cha Sh bilioni 55.8 kimelipwa na Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa(LAPF) kwa wanachama wake 2,459.
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Serikali yakalia trilioni 8.4/- za PSPF, NSSF, PPF
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/irene-isaka-oct7-2013(1).jpg)
Madeni sugu ya serikali yanatishia uhai wa mifuko ya hifadhi ya jamii nchini huku Mamlaka ya Usimamizi ya Mifuko hiyo ( SSRA) ikitoa angalizo kwa serikali kuhusiana na hali hiyo kufuatia kuidai Sh. trilioni 8.43.
Hali hiyo inaweza kukwamisha mifuko hiyo kuwalipa mafao wanachama wake, kujiendesha yenyewe na kuwekeza katika miradi mbali mbali.
Deni hilo linatokana na serikali na taasisi zake kukopa kwenye mifuko hiyo na kutopeleka michango ya wanachama.
Mkurugenzi...
11 years ago
GPLPSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR
11 years ago
Michuzi17 Jun
PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA
10 years ago
Vijimambo30 Apr
Bajeti ya mwaka 2015/16 ni ya kula. Ni Shilingi trilioni 22.5, Za maendeleo trilioni 5 tu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-30April2015(1).jpg)
Serikali imetangaza sura ya bajeti ya mwaka 2015/16, ikiwa imejielekeza zaidi katika matumizi ya kawaida ya safari, posho za viongozi na matumizi mengine kuliko miradi ya maendeleo inayogusa maisha ya Watanzani moja kwa moja.
Bajeti ya mwaka ujao inatarajiwa kuwa Sh. Trilioni 22.480, kwa matumizi ya kawaida na maendeleo.
Makadirio hayo ni ongezeko la asilimia 13.2 ya bajeti ya mwaka 2014/15 ambayo ilikuwa ni Sh. Trilioni 19.853.
Waziri wa Fedha, Saada Salum...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/---bE51K8_3E/U7qUL6bXdUI/AAAAAAAFvfI/n_6Wgx5BKTQ/s72-c/kabaka2.jpg)
Mh. Kabaka atembelea Banda la PSPF sabasaba, Mrisho Mpoto ajiunga PSPF
![](http://1.bp.blogspot.com/---bE51K8_3E/U7qUL6bXdUI/AAAAAAAFvfI/n_6Wgx5BKTQ/s1600/kabaka2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fRv0WBo_i3A/U7qULyeau0I/AAAAAAAFvfU/S2GE4yKx6lM/s1600/RISHO+mPOTOZ.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Serikali yalipa walimu bil 1.9/-
Asifiwe George na Imani Nathaniel (RCT), Dar es Salaam
CHAMA cha Walimu Tanzania Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema Serikali imeanza kulipa deni la madai ya walimu kiasi cha Sh 1,936,572,146.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CWT wa mkoa huo, Amina Kisenge, alisema kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2013 hadi Julai 2015 walikuwa wanaidai Serikali kiasi cha Sh 3,916,432,471.
Alisema kwa sasa deni lililobaki ni Sh 1,979,860,325 ambazo bado walimu wanadai.
Alisema pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xXpt_vsKHt8/VXWupyOtPII/AAAAAAAHdCg/5HvXfypCZhM/s72-c/004.TAX.jpg)
VODACOM YALIPA KODI YA SHILINGI BILIONI 46.4
![](http://2.bp.blogspot.com/-xXpt_vsKHt8/VXWupyOtPII/AAAAAAAHdCg/5HvXfypCZhM/s640/004.TAX.jpg)
9 years ago
Habarileo02 Sep
‘Serikali yalipa madeni yote ya walimu’
SERIKALI imetoa ufafanuzi kuhusu madeni ya walimu kwa kusema imeshalipa yote ya mwaka jana na kwa mwaka huu, orodha inaandaliwa. Orodha kwa ajili ya madeni ya mwaka huu, inasubiriwa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi) kabla ya malipo kufanyika.