Leo Mkanyia ndani ya Alliance Francais
Lile jimbo lililo gumzo la mjini hivi sasa lawika tena.
Leo Mkanyia akiwa na timu kamili ya Swahili Blues Band wameipagawisha jumuiya ya kimataifa iishiyo jijini Dar es Salaam jumatano hii. Haya yametokea kwenye ukumbi wa Alliance Francais katika onyesho kabambe lililo andaliwa na Kituo cha Utamaduni cha Ufaransa. Onyesho hilo maarufu kama Barazani ni la mwisho katika mwaka huu wa 2014. Swahili Blues Band pamoja na wasanii kadhaa walipewa heshima ya kupiga mshindo katika show hii kabambe ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen07 Nov
Leo Mkanyia: We can defeat Ebola
10 years ago
Bongo524 Oct
Video: Mfahamu Leo Mkanyia, mwanzilishi wa Swahili Blues
10 years ago
Michuzi09 Nov
Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa
![Embedded image permalink](https://pbs.twimg.com/media/B17kVxzIIAERTK4.jpg)
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
Video na Picha: Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa
![Embedded image permalink](https://pbs.twimg.com/media/B17kVxzIIAERTK4.jpg)
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fxQlWgj-wvo/VbjWI5ojzbI/AAAAAAAAGrk/95moUOuDoSg/s72-c/leo%2B3.jpg)
ERIC OMONDI KUVUNJA MBAVU ZA WAKAZI DAR JUMAMOSI HII, KUSINDIKIZWA NA SARABI BAND, LEO MKANYIA NA GRACE MATATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fxQlWgj-wvo/VbjWI5ojzbI/AAAAAAAAGrk/95moUOuDoSg/s640/leo%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o30VEK-kgXY/VbjWUpwUnPI/AAAAAAAAGrs/yVS_igG0R-o/s640/ERIC.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
East Africa Vibes Concert yafana Dar: Eric Omondi, Sarabi Band, Leo Mkanyia na Grace Matata wafunika
Wanamuziki wa bendi ya SARABI kutoka Kenya, ikishambulia jukwaa usiku wa jana Agosti Mosi, wakati wa shoo East Africa Vibes Concert iliyofanyika Nafasi Art Space, Mikocheni. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)
Na Andrew Chale
(Kinondoni-Dar es Salaam) Usiku wa Agosti Mosi ulikuwa ni ya kipekee kwa wadau wa burudani na vichekesho ndani ya Afrika Mashariki baada ya kushuhudia muziki wenye vionjo halisi kutoka kwa wanamuziki mbalimbali wa Afrikaa Mashariki ndani ya ukumbi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s72-c/IMG-20141109-WA0013.jpg)
LEO MKANYIA WA BAND YA SWAHILI BLUES BAND
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s1600/IMG-20141109-WA0013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-irrnSlxNqH8/VF_bkX3ZjOI/AAAAAAAAqBI/8brxAJF5SME/s1600/IMG-20141109-WA0020.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R4vNK17xbzE/VbCefzLZ6EI/AAAAAAAAGrA/6zj-7nEILPg/s72-c/eavc.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zhl3botkLow/VXkuauUQcZI/AAAAAAAHemI/LIoswKhEC_g/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
LEO NI LEO MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI NDANI YA VILLA PARK MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zhl3botkLow/VXkuauUQcZI/AAAAAAAHemI/LIoswKhEC_g/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Ni onyesho linalokutanisha miamba miwili ya taarab ambapo licha ya kuchukuliwa kama mtu na mwanae lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kutawala katika onyesho hilo lililopewa jina la usiku wa baba na mwana.
Wasanii wote wawili (Isha na Mzee) wameahidi kumimina...