Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lini mtaamua kuwa siriazi?

NAAPA muda mwingi mnautumia kwenye utani kuliko kuwa siriazi watu wangu. Mnabisha hata kwenye hili? Watu wako kwenye mambo mazito ninyi mnaleta utani? Naapa nimechoka kusikia vituko vya walimwengu.  Hivi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Masheha watabadilika lini?

DUNIA hii ina viumbe vya kila aina na hutofautiana kwa kila namna kuanzia kimwili, kiakili, kitabia, mwendo na hata vyakula. Leo nataka nijikite zaidi katika tofauti ya kitabia baina ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mizaha hii ya JK hadi lini?

MTU yeyote aliyezoea mizaha (maneno au vitendo vya kumfanyia mtu masihara; goya, utani, dhihaka) hawawezi kuhangaika kumtafakari sana Rais wetu Jakaya Kikwete. Kwa mtu wa aina hiyo kila atakachokisema au...

 

11 years ago

GPL

AJALI HIZI ZITAISHA LINI?

Gari aina ya Toyota Hilux limetumbukia kwenye mtaro uliopo Sinza-Makaburini jijini Dar es Salaam baada ya dereva aliyekuwa akiliendesha gari hiyo kushindwa kulimudu. Pichani wasamaria wema wakishirikiana kulinasua gari hilo. (PICHA : RICHARD BUKOS / GPL)

 

11 years ago

Mwananchi

Wahoji umeme utakuja lini

Wakazi wa Vijiji vya Nanyamba na Mpapura Wilaya ya Mtwara mkoani hapa, wamelitaka Shirika la Ugavi wa Umeme (Tanesco) kuharakisha mpango wa usambazaji umeme ili kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kuboresha huduma za kijamii vijijini humo.

 

11 years ago

GPL

SINEMA ZA KIBONGO LINI ZITABADILIKA?

Baadhi ya wasanii wa Bongo Muvi. KWENU,
Watayarishaji wa sinema za Kibongo. Hongereni sana na kazi. Mimi nipo sawa na mishe zangu zinaendelea vyema kabisa. Leo nimewakumbuka kwa barua kwa lengo la kuwekana sawa kidogo.
Ni kweli kuna tofauti kubwa sana katika sinema zetu za sasa na zile za miaka mitano iliyopita lakini kiukweli bado kuna changamoto nyingi.  Kuna makosa mengi madogomadogo ambayo yanaachwa na yanaweza...

 

11 years ago

GPL

LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?

Mwanamuziki Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’. RAMADHANI Masanja ‘Banza Stone’ ni mwanamuziki mkubwa wa muziki wa dansi la kileo. Dansi la kileo ninamaanisha hili linalopigwa na bendi zinazochombeza na sebene za Kikongo. Sina uhakika sana, lakini sidhani kama itakuwa sahihi kwa shabiki wa muziki huu, kumuondoa Le General katika Tatu Bora, kama ataamua kuwapanga mastaa wake kwa namba, kutokana na uwezo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lini CCM imemuenzi Mwalimu Nyerere?

YAPO mambo ukiyasikia ama kuyaona kutoka kwa wanasiasa na watawala wetu fulani ambao taifa linawaamini kuwa wanayo busara ya hali ya juu, unaweza kuangua sio tu kicheko bali kilio cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Tiba ya katiba ikitibuliwa, mazishi lini?

Juzi nilipoenda kwenye kikao cha waishiwa sebuleni, nilishtuka. Tena nilishtuka sana maana nilikuwa sijawahi kuwaona watu wakisononeka hivyo. Hata supu waliyopewa ilikuwa haipiti. Kila mtu alikuwa ameinama. Ikabidi niwaulize

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani