Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SINEMA ZA KIBONGO LINI ZITABADILIKA?

Baadhi ya wasanii wa Bongo Muvi. KWENU,
Watayarishaji wa sinema za Kibongo. Hongereni sana na kazi. Mimi nipo sawa na mishe zangu zinaendelea vyema kabisa. Leo nimewakumbuka kwa barua kwa lengo la kuwekana sawa kidogo.
Ni kweli kuna tofauti kubwa sana katika sinema zetu za sasa na zile za miaka mitano iliyopita lakini kiukweli bado kuna changamoto nyingi.  Kuna makosa mengi madogomadogo ambayo yanaachwa na yanaweza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wapeni movie nzuri, wabongo wanaweza kwenda kuangalia filamu za kibongo kwenye majumba ya sinema

12356420_957636774330521_1441234626_n

Jumamosi hii nilipata bahati ya kwenda kuangalia filamu ya Going Bongo kwenye jumba la sinema la Century Cinemax lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.

12356420_957636774330521_1441234626_n

Going Bongo ni filamu pekee iliyochezwa na Watanzania, inayooneshwa hapo. Kwa wiki hii filamu zingine zinazooneshwa ni pamoja na The Peanut Movie, The Good Dinosaur, Tamasha, Spectre, Hate Story 3, In The Heart of The Sea na zingine.

Mimi niliangia kuangalia Going Bongo kuanzia saa mbili usiku, ikiwa ni siku ya pili tangu ianze...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwanja wa Mashabiki: Wema Sinema Yako na Van Vicker Inatoka Lini?

Habari  Bongomovies, Kwanza kabisa nawapongeza kwa kutupa fursa  na sisi mashabiki wenu kuweza  kutoa yetu ya moyoni kuhusu tasnia yenu ya filamu.

Kwanza kabisa mimi ni mshabiki namba moja kabisa wa “madame” (Wema Sepetu) tangu akiwa Miss na alipoingia kwenye tasina ya filamu ndipo nimezidi kumpenda zaidi, nimekuwa ni moja kati ya followers wake kwenye mitandao yote ya kijamii na zaidi huwa sikosi ile show yake ya “In My Shoes” nimeanza hiyo ili niweze kueleweka vizuri.

Swali langu kwa...

 

10 years ago

CloudsFM

JB amtaja ‘’muuaji’ wa filamu za Kibongo

Mwigizaji Mkongwe wa filamu za Kibongo, Jacob Steven’JB’ amefunguka sababu ya mashabiki wa filamu hizo kushuka tofauti na zamani ni kwamba waandaji wa filamu wamekuwa wakitoa ovyo filamu hizo bila utaratibu maalum. Aidha amefunguka kuwa zamani filamu zilikuwa zikitoka chache hivyo mashabiki walikuwa na hamu ya kusubiria filamu itakayokuja.
‘’Unajua zamani filamu zilikuwa chache sana ndiyo maana kila shabiki alikuwa anaitafuta sana filamu ndiyo maana zilikuwa na thamani lakini sasa hivi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wema aziponda filamu za Kibongo

STAA wa filamu za Bongo, Wema Sepetu, amesema filamu nyingi za Bongo ni za makochi na juisi, hivyo kwa sasa ameamua kuja tofauti. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Wema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Movies za Kibongo Kushuka Bei Mwakani

Baadhi ya waigizaji na wadau wanaofanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment , leo asubuhi walitambulisha bei mpya na muonekano mpya wa DVD covers za filamu zao kwenye ukumbi wa habari maelelzo.

Ambapo wameseama kuanzia mwezi wa pili mwakani CD moja iauzwa shilingi 1500 kwa bei ya rejareja badala ya shilingi 3000 iliyopo sasa.

Mbali na hayo wasanii waliazimia kuendeleza harakati za kupambana na wezi wa kazi zao.

Una maoni gani juu ya hili.

 

11 years ago

Michuzi

MJUE SuperModel wa Kibongo Harieth Paul





Mfahamu mwanamitindo maarafu wa kiwango cha kimataifa Herieth Paul, ambaye ni raia wa Tanzania aneyeishi nchini Canada.  
Mwanamitindo huyu mwenye umri wa miaka 18 anafanya shughuli zake jijini New York Marekani, London Uingereza na Milan Italia. 
 Amesaini mkataba wa vipodozi na kampuni maarufu duniani ya Calvin Klein na ametokea katika kurasa mbele za majarida mashuhuri mbalimbali kama Elle Magazine, Teen Vogue na VogueItalia.  
Hivi karibuni pia mrembo huyu amekuwa miongoni mwa ...

 

10 years ago

Mwananchi

TI kufurukuta mbele ya wasanii wa kibongo leo?

Mwanamuziki wa Marekani katika miondoko ya Hiphop ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki, mwigizaji na mwekezaji, Clifford Joseph Harris Jr, almaarufu kama T.I. amethibitishwa kuwa mmoja kati ya wanamuziki wa kimataifa watakaotumbuiza katika kilele cha shangwe za Serengeti Fiesta zitakazofanyika jijini Dar es salaam leo hii.

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu za Kibongo za Zidi Kupasua Anga!

Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu  Jestina George  mtanzania aneishi ughaibuni kushea nasi kile alichokutana nacho akiwa ndani ya ndege.

"I was very happy hivi karibuni wakati nasafiri ndani ya Emirates kukutana na hii .BongoMovie ..MkeMchafu humo ndani ninaemjua ni Johari Chagula pekee yake . but lengo lakuleta hapa ni kuwapongeza sana maana ni hatua nzuri and I...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAWAUNGANISHA WAIMBAJI CHIPUKIZI WA KIBONGO NA AKON

Mwanamuziki wa kizazi kipya, Ommy Dimpoz (kushoto) akizungumza na Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) huku mdada flani kutoka Airtel akiwasikiliza. Makomandoo wa kibega wakinogesha katika uzinduzi huo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani