Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJUE SuperModel wa Kibongo Harieth Paul





Mfahamu mwanamitindo maarafu wa kiwango cha kimataifa Herieth Paul, ambaye ni raia wa Tanzania aneyeishi nchini Canada.  
Mwanamitindo huyu mwenye umri wa miaka 18 anafanya shughuli zake jijini New York Marekani, London Uingereza na Milan Italia. 
 Amesaini mkataba wa vipodozi na kampuni maarufu duniani ya Calvin Klein na ametokea katika kurasa mbele za majarida mashuhuri mbalimbali kama Elle Magazine, Teen Vogue na VogueItalia.  
Hivi karibuni pia mrembo huyu amekuwa miongoni mwa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MJUE SUPER MODEL HERIETH PAUL MTANZANIA ALIYEPATA MKTATABA NA SEPHORA COSMETICS & BEAUTY


Ninafurahi kukupa taarifa hii mahususi ya Binti MTANZANIA - HERIETH PAUL - SUPER MODEL anayeishi Canada na Marekani na kufanya kazi zake ‘around the Globe’.

Video mbili ni baadhi tu ya interview alizofanya leo 01/9/2015 - na CTV - Ottawa akizungumzia Mkataba wa kazi alioingia na KAMPUNI kubwa duniani ya vipodozi ‘Sephora Cosmetics & Beauty’ na video ya pili ni MORNING LIVE – Ottawa, ambayo anaelezea mafanikio yake kwa nia ya kuwahamsisha wasichana wa umri wake waweze KUJIAMINI na...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Supermodel Naomi Campbell apozi utupu kwenye jarida la Lui (18+)

Supermodel wa Uingereza, Naomi Campbell bado yumo. Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 45, amepozi utupu kwenye jarida la Lui, tolea la mwezi huu. Jionee. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

5 years ago

FOX Sports Malaysia

Paul Scholes hails Bruno Fernandes, claims he has ‘brought what one expected from Paul Pogba’

Paul Scholes hails Bruno Fernandes, claims he has ‘brought what one expected from Paul Pogba’  FOX Sports MalaysiaView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

supermodel flaviana matata atembelea ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa jijini New York

Ankal akila konozzzz na supermodel wa Tanzania anaefanya kazi zake jijini New York, Marekani, walipokutana jijini humo hivi karibuni. Ankal anamsifia Flaviana kwa kuwa mmoja wa watu maarufu wachache wanaoendesha maisha yao bila maskendo wala kashfa. Hongera sana Flaviana. Kaza buti na endeleza kupeperusha bendera yetu vyema ughaibuni.
Picha ya chini Flaviana akiwa na maafisa wa ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa jijini New York.

 

11 years ago

GPL

SINEMA ZA KIBONGO LINI ZITABADILIKA?

Baadhi ya wasanii wa Bongo Muvi. KWENU,
Watayarishaji wa sinema za Kibongo. Hongereni sana na kazi. Mimi nipo sawa na mishe zangu zinaendelea vyema kabisa. Leo nimewakumbuka kwa barua kwa lengo la kuwekana sawa kidogo.
Ni kweli kuna tofauti kubwa sana katika sinema zetu za sasa na zile za miaka mitano iliyopita lakini kiukweli bado kuna changamoto nyingi.  Kuna makosa mengi madogomadogo ambayo yanaachwa na yanaweza...

 

10 years ago

CloudsFM

JB amtaja ‘’muuaji’ wa filamu za Kibongo

Mwigizaji Mkongwe wa filamu za Kibongo, Jacob Steven’JB’ amefunguka sababu ya mashabiki wa filamu hizo kushuka tofauti na zamani ni kwamba waandaji wa filamu wamekuwa wakitoa ovyo filamu hizo bila utaratibu maalum. Aidha amefunguka kuwa zamani filamu zilikuwa zikitoka chache hivyo mashabiki walikuwa na hamu ya kusubiria filamu itakayokuja.
‘’Unajua zamani filamu zilikuwa chache sana ndiyo maana kila shabiki alikuwa anaitafuta sana filamu ndiyo maana zilikuwa na thamani lakini sasa hivi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wema aziponda filamu za Kibongo

STAA wa filamu za Bongo, Wema Sepetu, amesema filamu nyingi za Bongo ni za makochi na juisi, hivyo kwa sasa ameamua kuja tofauti. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Wema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Movies za Kibongo Kushuka Bei Mwakani

Baadhi ya waigizaji na wadau wanaofanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment , leo asubuhi walitambulisha bei mpya na muonekano mpya wa DVD covers za filamu zao kwenye ukumbi wa habari maelelzo.

Ambapo wameseama kuanzia mwezi wa pili mwakani CD moja iauzwa shilingi 1500 kwa bei ya rejareja badala ya shilingi 3000 iliyopo sasa.

Mbali na hayo wasanii waliazimia kuendeleza harakati za kupambana na wezi wa kazi zao.

Una maoni gani juu ya hili.

 

10 years ago

Mwananchi

TI kufurukuta mbele ya wasanii wa kibongo leo?

Mwanamuziki wa Marekani katika miondoko ya Hiphop ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki, mwigizaji na mwekezaji, Clifford Joseph Harris Jr, almaarufu kama T.I. amethibitishwa kuwa mmoja kati ya wanamuziki wa kimataifa watakaotumbuiza katika kilele cha shangwe za Serengeti Fiesta zitakazofanyika jijini Dar es salaam leo hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani