Lissu aishika serikali uchuku
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA) amesema Waziri Mkuu Mizengo Pinda hakusema ukweli Bungeni. Akichangia mjadala wa hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Fedha na Uchumi kwa mwaka huu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Lissu atikisa serikali
MAKOMBORA ya maneno yaliyokuwa yakitolewa na msemaji wa taarifa ya wachache bungeni, Tundu Lissu, juu ya muundo wa muungano, na kutokuwapo kwa Hati za Muungano kumetikisa serikali ambayo sasa imeamua...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Warioba aanika uchuku wa CCM
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amewashika pabaya makada wenzake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao wamekuwa wakimtukana na kubeza kazi iliyofanywa na Tume aliyoongoza....
10 years ago
Mtanzania14 Sep
Dylan Kerr aishika pabaya African Sports
NA ONESMO KAPINGA, TANGA
KOCHA Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr, ni kama aliwashika pabaya wachezaji wa African Sports baada ya kufanya uamuzi wa kwenda kuwasoma kabla ya kuvaana kwenye mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo amekiri alikuwa sahihi kwani aliweza kutambua uwezo wa mshambuliaji wao hatari, Novat Lufungo.
Kabla ya kukutana na African Sports juzi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Kerr alishawasoma wapinzani wake na kugundua umahiri wa mshambuliaji huyo hatari...
5 years ago
Michuzi
WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU

Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...
11 years ago
Dewji Blog12 May
Elekezeni nguvu zenu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa- Tindu Lissu
Mbunge Tundu Lissu, Singida Mashariki
Na Nathaniel Limu, Ikungi
MBUNGE wa Jimbo la Singida mashariki kupitia tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amewataka wananchama wa chama hicho kata ya Iseke tarafa ya Ihanja wasibweteke na ushindi wa udiwani walioupata katikati ya mwaka jana, na badala yake waelekeze nguvu zao zote kwenye uchanguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu.
Amesema ushindi huo utakuwa na maana zaidi endapo CHADEMA itazoa nafasi zote za uenyeviti wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Lissu atonesha ‘kidonda’
MSEMAJI wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Tundu Lissu jana alitonesha madonda ya mjadala wa muundo wa Muungano uliyokuwa ukijadiliwa kwa hisia kali wakati wa...
10 years ago
Vijimambo01 Feb
Lissu alipuka bungeni
Lissu alilipuka bungeni na kumwambia Masaju kuwa ni mshauri wa serikali na si Bunge kuhusu masuala ya kisheria.
Akizungumza wakati akichangia mjadala uliohusu taarifa za Kamati za Bunge, Lissu alisema kuwa mafisadi wakubwa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Makombora ya Lissu moto
MAKOMBORA ya maneno yaliyokuwa yakitolewa na msemaji wa taarifa ya wachache bungeni, Tundu Lissu, juu ya muundo wa muungano, hati na nukuu mbalimbali za viongozi wa kitaifa yalisababisha kuvunjika kwa...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Lissu amkubali Sitta