Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LITTLE LAND NURSERY & MONTESSORI CENTRE WAFANYA SHEREHE YA KUWAAGA WANAFUNZI WANNE

Mkuu wa Shule, Mary Lugora akizungumza na wanafunzi hao (hawapo pichani) . Mwalimu mkuu akiwa na mwalimu Rose. Wanafunzi waliohitimu katika shule…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

mahafali ya Shemssah Junior Nursery School na ziara ya wanafunzi fun city

Wanafunzi wa Shemssah Junior Nursery School iliyopo Karakata Uwanja wa Ndege Jijini Dar es Salaam wakiwa katika ziara ya kimasomo ufukwe wa Bahari, Funy City Kigamboni pamoja na mahafali yao ikiwa kusheherekea kumaliza elimu ya awali. Shule hii ipo chini ya Mwalimu Aisha Juma Kibukillah Mmoja wa  Wanafunzi wa Shemssah Junior Nursery School akipokea cheti toma kwa mgeni rasmiBaadhi ya Wanafunzi wa Shemssah Junior Nursery School wakiwa Fun City, KigamboniWanafunzi wa Shemssah Junior Nursery...

 

11 years ago

Daily News

Church seeks land to build health centre


Daily News
Church seeks land to build health centre
Daily News
MOSHI Catholic Diocese Bishop Isaac Amani has directed the Executive Committee of Uru Parish to seek a plot for construction of a health centre and a modern house for priests. He tasked the Finance and Planning Committee to do that after Uru ...

 

10 years ago

Michuzi

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar mgeni rasmi kwenye hafla ya kuwaaga wanafunzi wa Zanzibar wanaosoma chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi alisema kwamba utitiri wa vyuo vikuu bila ya ubora wa elimu inayotolewa ni jambo linalopelekea vyuo hivyo kutoa vijana wasiouzika kiajira katika taasisi mbali mbali za umma na hata zile za binafsi.
Mama Asha Suleiman Iddi alisema hayo wakati wa hafla maalum ya kuagana kwa wana jumuiya ya wanafunzi wa Zanzibar wanaosoma chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro wa ZAMUMSA ambao wanatarajiwa kumaliza mafunzo yao mwezi Novemba mwaka huu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa Zantel wafanya sherehe za kufunga mwaka

2.1

Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akitoa hotuba fupi ya kuzindua sherehe ya kufunga mwaka kwa wafanyakazi wa Zantel iliyofanyika mwisho wa wiki.

3

Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akitoa hotuba fupi ya kuzindua sherehe ya kufunga mwaka kwa wafanyakazi wa Zantel iliyofanyika mwisho wa wiki.

1

Wafanyakazi wa kampuni ya Zantel wakati wa Sherehe ya kufunga mwaka iliyofanyika mwisho wa wiki hii katika hotel ya Double Tree.

4

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Zantel, Bertrant Lacroix...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi wafanya mitihani Syria

Wanafunzi nchini Syria wameanza mitihani yao ya Taifa.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA ‘ESCROW’ NOMA, WATOTO WA KIGOGO WAFANYA BETHIDEI YA MAMILIONI

Bethidei ya Hassan na Khadija Dilunga wakiwa na makapu ya fedha.
MSHANGAO!
WAKATI dunia ikiingia Mwaka Mpya wa 2015, taarifa ikufikie kwamba kigogo mmoja ambaye ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar amewaangushia wanaye, Hassan na Khadija Dilunga sherehe ya kuzaliwa ambayo imepachikwa jina la ‘Escrow’ kufuatia kufuru ya fedha iliyooneshwa na wahusika hivyo kuwa ndiyo gumzo la mjini kwa wikiendi iliyopita.
Sherehe hiyo ilichukua nafasi kwenye Ukumbi wa Msasani Tower jijini Dar juzi ambapo...

 

11 years ago

GPL

MBUNGE FILIKUNJOMBE ALALA ZAHANATI YA MBONGO WANANCHI WAFANYA SHEREHE‏

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akikabidhiwa zawadi ya mfano wa Mtumbwi na wananchi wa Mbongo Ludewa Wananchi wa Mbongo wakimsalimu mbunge wao Deo Filikunjombe baada ya kufika kijijini hapo na kulala katika zahanati ya kijiji hicho WANANCHI wa kijiji cha Mbongo wilaya ya Ludewani mkoani Njombe wakesha usiku kucha kufurahia mbunge wao Deo Filikunjombe kuwa kiongozi wa kwanza toka nchi ipate uhuru mwaka 1961… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwalimu adaiwa kubaka wanafunzi wake wanne

Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linafanya uchunguzi wa tuhuma za ubakaji wa wanafunzi wanne zinazomkabili mwalimu wa Shule ya Msingi Kimerembe wilayani Ludewa.

 

10 years ago

GPL

SHEREHE YA ‘ESCROW’ NOMA, WATOTO WA KIGOGO WAFANYA BETHIDEI YA MAMILIONI

Stori: Hamida Hassan WAKATI dunia ikiingia Mwaka Mpya wa 2015, taarifa ikufikie kwamba kigogo mmoja ambaye ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar amewaangushia wanaye, Hassan na Khadija Dilunga sherehe ya kuzaliwa ambayo imepachikwa jina la ‘Escrow’ kufuatia kufuru ya fedha iliyooneshwa na wahusika hivyo kuwa ndiyo gumzo la mjini kwa wikiendi iliyopita. Bethidei ya Hassan na Khadija Dilunga wakiwa na makapu ya fedha....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani