SHEREHE YA ‘ESCROW’ NOMA, WATOTO WA KIGOGO WAFANYA BETHIDEI YA MAMILIONI
Bethidei ya Hassan na Khadija Dilunga wakiwa na makapu ya fedha.
MSHANGAO!
WAKATI dunia ikiingia Mwaka Mpya wa 2015, taarifa ikufikie kwamba kigogo mmoja ambaye ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar amewaangushia wanaye, Hassan na Khadija Dilunga sherehe ya kuzaliwa ambayo imepachikwa jina la ‘Escrow’ kufuatia kufuru ya fedha iliyooneshwa na wahusika hivyo kuwa ndiyo gumzo la mjini kwa wikiendi iliyopita.
Sherehe hiyo ilichukua nafasi kwenye Ukumbi wa Msasani Tower jijini Dar juzi ambapo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci2nSwPtmwnla51z3RM8HxKNhoL3ZiqLfPjssaH-MLAexa3YYL3kJPpqFiEOyHIzFC59g2Afj*pNKia74IRZ7wzq/FRONTPAGEAMANI.jpg?width=650)
SHEREHE YA ‘ESCROW’ NOMA, WATOTO WA KIGOGO WAFANYA BETHIDEI YA MAMILIONI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2L4V0v6zF6dm1oe8xQ6FoLbE77LmjW2eKnGBEjfkfb2*EYB5*JYd8FVPM2X0W6sY2FYDlA2nj3*pzpG3M-1x749/wema.jpg?width=650)
KIGOGO WA WEMA NOMA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHNZbBotYKNVlfj3*o7CXXMLO-Ir3h19NwbW-fSOXB3mW87JbRaYFprpkN4js*KlfqfTIcE*l4F6L1XIChbn*pc/BACKAMANI.gif?width=650)
ULEVI NI NOMA BINTI WA KIGOGO AFANYIWA MBAYA
10 years ago
GPLSHEREHE YA BETHIDEI YA DIAMOND PLATINUMZ GOLDEN JUBILEE, DAR
10 years ago
Vijimambo11 Mar
Kigogo mwingine ajikanyaga Escrow.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/james-10March2015.jpg)
Fedha hizo, ambazo anadaiwa kuingiziwa na Rugemalira katika akaunti yake iliyofunguliwa katika Benki ya Biashara ya Mkombozi tawi la St. Joseph, jijini...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Kigogo TCAA aingia mtandao wa Escrow
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam
BARAZA ya Maadili jana lilimuhoji Mkurugenzi Mdhibiti Uchumi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Dk. James Diu, kwa tuhuma za kuomba, kudai fadhila za uchumi.
Kigogo huyo anadaiwa kupokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Limited, James Rugemalira .
Mahojiano hayo ni muendelezo wa utetezi wa watumishi na viongozi wa umma wanaodaiwa kupata mgao kutoka katika kampuni hiyo kupitia akaunti ya Tegeta Escrow.
Dk. Diu...
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Kigogo Escrow kuwasilisha pingamizi mahakamani
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imekwama kumsomea maelezo ya awali Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA), Philip Saliboko kwa sababu inadai kuna ukiukwaji wa kikatiba.
Wakili wa Takukuru, Leonard Swai alitakiwa kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa huyo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mjini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba.
Swai, alidai walikuwa tayari kumsomea mshtakiwa...
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Kigogo Ikulu aburuzwa Madili kwa Escrow
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIGOGO wa Ikulu (Mnikulu), Shabani Gurumo, amelishangaza Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kusema hakufahamu sababu za kuwekewa kiasi cha Sh 80,850,000 kwenye akaunti yake.
Mnikulu huyo alipinga madai ya yeye kupewa fedha na Kampuni ya VIP Engineering ila alipewa na James Rugemalira kutokana na urafiki wao walionao kwa muda wa miaka 10 na hazihusiani na mgawo.
Alisema wakiwa katika mazungumzo na rafiki yake Rugemalira, alipewa maelezo...
10 years ago
VijimamboAskofu aeleza alivyoingiziwa mamilioni ya Escrow
Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa, amevunja ukimya kuhusu mgao wa Sh. milioni 40 alioupata kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VIP Engineering & Marketing Limited, James Rugemalira.
Ukimya wa Askofu Nzigilwa unatokana na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Akaunti hiyo ilifunguliwa baada ya...