LIVA: HAKUNA MSANII FREEMASON BONGO
![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMk2K59FyqAwrffvUKiLZ50evpqj0-o7*48tIbq4DNsCRE1j*ZMJVXwaX0s6ZkEhgMpgf-4bYJ9CInQPshucCAzM/liva.jpg?width=650)
Stori: Mayasa Mariwata MWANAMUZIKI wa Bendi ya Diamond Musica, Liva Hassan ‘Sultan’ amesema hakuna msanii wa Kibongo mwenye uwezo wa kujiunga na Freemason kwani wasanii wengi hawana fedha. Mwanamziki wa Bendi ya Diamond Musica, Liva Hassan ‘Sultan’. Akinukuliwa na kinasa sauti chetu, Liva alisema taasisi ya Fremason inahitaji mtu tajiri na si vinginevyo. “Wasanii wa Bongo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Sep
Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella
9 years ago
Mtanzania28 Aug
NURU THE LIGHT: Hakuna tatizo msanii kushabikia chama cha siasa
NA JULIET MORI, (Tudarco)
MSANII wa Bongo Fleva anayefanyia shughuli zake za kimuziki nchini Sweeden, Nuru Magram ‘Nuru the Light’, amesema haoni ubaya kwa wasanii kuweka wazi ushabiki wao kwenye vyama vya siasa kwa kuwa kila mtu ana chama anachokipenda.
Nuru aliweka wazi hilo jana baada ya kutumbuiza na wafanyakazi wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd ikiwa ni ishara ya kukubali mchango wa kazi zinazofanywa na wafanyakazi wa kampuni hiyo kupitia magazeti yake matano ya Mtanzania, Bingwa,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsHbXbB9oR-HmKUi7ss6d0aU0c9ADx4fYqld6Uj*rHhLcqwAnWMBizLLHtUx3jl83MnTSJO4U1IdJvwyURSNVdEt/mgogoro.jpg?width=650)
MSANII BONGO MOVIE...
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Enrico: Hakuna Bongo Fleva siku hizi
NA HERIETH FAUSTINE
MTAYARISHAJI wa muziki kutoka studio ya Sound Crafters, Enrico Figueroa ‘Enrico’, amesema nyimbo zote
zinazotoka siku hizi hazina ubora, ndiyo maana haziwezi kudumu hata kwa miaka miwili.
“Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea, hakuna
Bongo Fleva ya kukaa miaka miwili,” alisema Enrico, alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Planet Bongo
kinachorushwa na kituo cha runinga cha EATV.
Aliongeza kwamba ili wimbo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl-GsN-EtFzcxRHbp-I9WipfJa00JpPUDOGX5uBRNjp0OXbF2v4wLcqPXfXFd25uZDkohL6gnJAJkaErN5BY2ALb/MSANII2.jpg?width=650)
A-Z MSANII BONGO MOVIES ALIVYOJINYONGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXphbfqI3I9GFv5aG59g7rviZyVFI*U4e3pEUClLb7Oli6GGdHsg28*be9p5YIY*lnzpW-wC2vUPsUhdAWCQ3n16/MSANII.jpg?width=650)
MSANII BONGO AITWA NA MAKHIRIKHIRI
9 years ago
Bongo Movies16 Nov
Hakuna Komediani Kama Mimi Bongo- Asha Boko
MCHEKESHAJI wa Kike katika tasnia ya filamu Swahilihood Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.
“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja lakini naye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4Xz2BgefpX5LoQcSEylyJB*zX19AHmyeR5C7QdOogCqf1chhyAckbS9q3sbugbPKY1ZoKvVEt3i-LGbmnHX3*vD/msanii.gif?width=650)
PICHA ZA MSANII BONGO AKIJIFUNGUA ZAANIKWA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsZPt*PBhwl4gjEfpR9TED1n40QrIAkqi57x-W9-2nBGJwFY*3z3DVP*Bqz5Y4uNuMMmD*5MPs9VHRk*dtRbC0V/mastaa.jpg?width=650)
MSANII BONGO MUVI ANASWA AKIJIUZA