Lulu: Marlow Tumekukosea Nini?Au Ni Majukumu ya Kifamilia..!!!
Mrembo na muigizaji wa filamu aliejijengea jina toka utotoni, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambae kila mtu anajua kuwa huyu ni mshabiki mkubwa wa muziki na wanamuziki wa hapa bongo kwani mara kadhaa amekuwa akijitokeza na kuelezea hisia zake kuhusu nyimbo mbalimbali na wasanii mabilmabli kama Diamond, Ally kiba, Yamoto Band na wengine wengi.
Kwa mara nyingine tena leo kupitia mtandaoni ameonyesha hisia zake za kum-miss msanii wa bongo Fleva ,Marlow ambae kwasasa ameoa na ana familia ni moja...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Madiba na maisha ya kifamilia
9 years ago
Bongo522 Sep
Z- Anto anaamini matatizo ya kifamilia yamempoteza kimuziki
9 years ago
Bongo531 Aug
Squeezer: Nilikuwa kimya kwa sababu za kifamilia
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QH-KGO74buQ/VIR6mq3NFqI/AAAAAAAANuY/LUl0SLWPfvg/s72-c/DSC_6503.jpg)
ACACIA YAFANYA BONANZA KAMAMBE LA KIFAMILIA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-QH-KGO74buQ/VIR6mq3NFqI/AAAAAAAANuY/LUl0SLWPfvg/s640/DSC_6503.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1b9iz9BZLlH3pN-FlOguc-g5v5PMrSIaCMNkAErFDRrYiGKRBIaUyDcm*YYQmmppQSEN4TAjU5pz4o2D9jCP3Kn/12_1.jpg?width=650)
NDEGE ILIYOTAKIWA KUPELEKA ASKARI GARISSA ILIKUWA INATUMIWA KIFAMILIA
10 years ago
CloudsFM19 Jan
H.BABA: MWAKA HUU TUZO ZANGU ZA KIFAMILIA NIMEONGEZA CATEGORY,ZIPO ZAIDI YA 20.
Mwaka 2013 ndiyo mwaka ambao msanii wa Bongo Fleva,H baba aliamua kuanzisha tuzo zake za kifamilia ambazo alizitoa kwa ajili ya familia yake,ambapo ilikuwa yeye pamoja na Mke wake Flora Mvungi.
Tuzo hizo walizipa jina la Tuzo za Familia,ambapo Flora Mvungi alipata tuzo za Msanii Bora wa filamu kwa mwaka 2014 na H baba akajipa tuzo ya Mtumbuizaji Bora wa mwaka 2014.
Baadhi ya category hizo ni mtumbuizaji bora wa mwaka,msanii bora wa mwaka.
10 years ago
CloudsFM30 Jun
Sugu Amedanganya Bunge Kuhusu Matunzo ya Mtoto...Adai Hayupo Tayari Kuyamaliza Kifamilia: Faiza
Mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi, Faiza Ally jana amesema 'Sugu' alidanganya Bunge alipodai hutoa sh.500,000 kila mwezi za matunzo ya mtoto.
Na ingawa Sugu alidai bungeni pia kuwa hulipa ada ya sh. milioni tatu kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto huyo, Faiza amedai ni kwa nusu ya pili tu ya kipindi cha miaka miwili ambayo amekuwa akisoma.
Aidha, mwanamitindo Faiza amesema hayupo tayari kumaliza kifamilia mvutano wa malezi ya mtoto na 'Sugu', kama Mbunge huyo...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.