Z- Anto anaamini matatizo ya kifamilia yamempoteza kimuziki
Z-Anto anaamini kilichomuangusha kwenye muziki ni matatizo ya kifamilia. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa kuondoka Tip Top sio sababu ya yeye kupotea kimuziki kama watu wanavyoamini. “Kuna matatizo mengi na mambo mengi ambayo yamekuwa nyuma ya pazia,” amesema. “Lakini vitu ambavyo vimesababisha matatizo ni familia. Sikuweza kusimama kwenye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Madiba na maisha ya kifamilia
9 years ago
Bongo531 Aug
Squeezer: Nilikuwa kimya kwa sababu za kifamilia
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QH-KGO74buQ/VIR6mq3NFqI/AAAAAAAANuY/LUl0SLWPfvg/s72-c/DSC_6503.jpg)
ACACIA YAFANYA BONANZA KAMAMBE LA KIFAMILIA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-QH-KGO74buQ/VIR6mq3NFqI/AAAAAAAANuY/LUl0SLWPfvg/s640/DSC_6503.jpg)
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Lulu: Marlow Tumekukosea Nini?Au Ni Majukumu ya Kifamilia..!!!
Mrembo na muigizaji wa filamu aliejijengea jina toka utotoni, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambae kila mtu anajua kuwa huyu ni mshabiki mkubwa wa muziki na wanamuziki wa hapa bongo kwani mara kadhaa amekuwa akijitokeza na kuelezea hisia zake kuhusu nyimbo mbalimbali na wasanii mabilmabli kama Diamond, Ally kiba, Yamoto Band na wengine wengi.
Kwa mara nyingine tena leo kupitia mtandaoni ameonyesha hisia zake za kum-miss msanii wa bongo Fleva ,Marlow ambae kwasasa ameoa na ana familia ni moja...
9 years ago
Bongo521 Nov
Ngoma moja tu inanirudisha kwenye chati – Z Anto
![Z Anto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Z-Anto-300x194.jpg)
Z Anto amesema wimbo mmoja tu unaweza kurudisha heshima yake kama atazingatia vitu vinavyohitajika kwenye muziki.
Akizungumza na Bongo5, Z Anto alisema bado ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwakuwa anaamini hakuna kitu kikubwa kilichobadilika.
“Siku zote huwa nachoamini kuwa kurudi kwa msanii wa aina yoyote huwa kunakuja kwa kazi moja peke yake. Kwahiyo suala la kurudi katika hatua ambayo niliiacha sio kazi kubwa kihivyo kwa sababu ubora wa kazi moja peke yake unaweza kunirudisha kwenye...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/a8Rnc338Hts/default.jpg)
Diamond Afichua Alivyojifanya Z Anto Na Kula Vya Bure
![](http://msetoea.com/images/1diamondclouds1.jpg)
Neno ‘Impersonator’ ni neno linalotosha kumtisha msanii yeyote. Unaposikia kuwa kuna mtu anatumia jina lako kupata vya bure inaweza ikawa ‘Police Case!’ Lakini, je unafahamu kuwa Diamond alishawahi kujifanya Z-Anto akapendwa na mrembo fulani aliyedhani yeye ni Z-Anto?Kabla Diamond hajakuwa Platnumz, kabla hajapata umaarufu alionao sasa, Z-Anto ndiye aliyekuwa akitikisa ‘airwaves’ na ngoma kama ‘Mpenzi Jini’ pamoja na hit iliyomvukisha mipaka, ‘Binti Kiziwi.’ Wakati huo wasanii wengi Afrika...
9 years ago
Bongo520 Nov
Z Anto kufanya kazi na management mbili kwa pamoja
![Z Anto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Z-Anto-300x194.jpg)
Z Anto amesema huenda akafanya kazi na management mbili katika huu ujio wake mpya.
Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi yupo kwenye mazungumzo na management hizo ambazo zinataka kufanya naye kazi pamoja.
“Mimi kazi zangu zitaanda kutoka December, video na audio,” asema. “Pia nipo kwenye mazungumzo na management mpya sio ya Babu Tale, lakini kwa sababu tupo kwenye mazungumzo na zote zinaonesha nia ya kufanya kazi na mimi, sioni tatizo la kuwa na management mbili kwa wakati mmoja....
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Keissy adai anaamini katika Serikali moja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1b9iz9BZLlH3pN-FlOguc-g5v5PMrSIaCMNkAErFDRrYiGKRBIaUyDcm*YYQmmppQSEN4TAjU5pz4o2D9jCP3Kn/12_1.jpg?width=650)
NDEGE ILIYOTAKIWA KUPELEKA ASKARI GARISSA ILIKUWA INATUMIWA KIFAMILIA