M-BET yakabidhi mil. 17 mshindi michezo ya kubahatisha
Mkurugenzi wa M-BET Dhiresh Kaba (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya zaidi ya sh. milioni 17 Kiboko Isomba Samaki baada ya kubahatika kushinda kupitia moja ya michezo inayoratibiwa na kampuni hiyo. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, Tarimba Abbas, akishuhudia zoezi hilo.
Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, Tarimba Abbas, akiongea jambo mbele ya wanahabari kwenye makabidhiano ya hundi hiyo.
Mshindi wa milioni 17, Kiboko Isomba,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBODI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YAKABIDHI LESENI KWA KAMPUNI YA MURHANDZIWA KUENDESHA MICHEZO HIYO
10 years ago
GPLMSHINDI WA TUZO YA BET, EDDY KENZO ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI UGANDA
5 years ago
MichuziShabiki wa Real Madrid ashinda Mil. 166.3 za M-BET
Ngolo ambaye fundi katika mkoa wa Manyara ameweza kubashiri kwa usahihi mechi 12 za ligi mbalimbali duniani na kuwa mshindi wa kwanza wa droo ya Perfect 12 mwaka huu.
Meneja Masoko wa kampuni ya M-BET, Allen Mushi alisema kuwa wamerafirijika kupata mshindi wa...
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Sadolin Yakabidhi Gari Kwa Mshindi wa Bahati Nasibu
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
NHIF yakabidhi shuka za mil. 3.5/-
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Tabora, umeikabidhi Hospitali ya Rufaa Kitete msaada wa shuka 150 zenye thamani ya sh milioni 3.5. Akikabidhi msaada huo, Mwenyekiti wa...
10 years ago
GPLSTAR TIMES YAKABIDHI PIKIPIKI KWA MSHINDI DROO YA PILI
9 years ago
GPLMSHINDI WA BSS AONGEZEWA SH. MIL 10
9 years ago
StarTV25 Aug
Marekani yakabidhi ruzuku ya Sh. Mil. 173
Balozi wa Marekani nchini Mark Childress amekabidhi ruzuku yenye thamani ya shilingi milioni 173 kwa vikundi na mashirika ya kijamiii 14 yanayofanya kazi ya kuboresha maisha ya watanzania kupitia shughuli za maendeleo.
Ruzuku hiyo inatarajiwa kuwanufaisha wananchi wa kipato cha chini zaidi ya 5,000 katika mikoa 12 na kuboresha huduma za kijamii ikiwemo afya, elimu, mazingira na maendeleo ya uchumi.
Kwa mujibu wa Ubalozi wa Marekani, lengo la ruzuku hiyo ni kusaidia vikundi na mashirika ya...
11 years ago
GPLAIRTEL YAKABIDHI MILIONI 50 KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA LEO