Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


M-BET yakabidhi mil. 17 mshindi michezo ya kubahatisha

M-BET (1)

Mkurugenzi wa M-BET Dhiresh Kaba (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya zaidi ya sh. milioni 17 Kiboko Isomba Samaki baada ya kubahatika kushinda kupitia moja ya michezo inayoratibiwa na kampuni hiyo.   Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, Tarimba Abbas, akishuhudia zoezi hilo.

M-BET (2)

Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, Tarimba Abbas, akiongea jambo mbele ya wanahabari kwenye makabidhiano ya hundi hiyo.

M-BET (3)

Mshindi wa milioni 17, Kiboko Isomba,...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BODI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YAKABIDHI LESENI KWA KAMPUNI YA MURHANDZIWA KUENDESHA MICHEZO HIYO

 Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya bahati nasibu , Bw Abbass Talimba akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi leseni ya kuendesha bahati nasibu ya Taifa kwa Kampuni ya Murhandziwa.Bodi ya Michezo ya bahati nasibu ya Taifa leo imetoa leseni ya kuendesha Bahati nasibu ya Taifa kwa Kampuni ya Murhandziwa ambayo itakuwa ikiendesha bahati nasibu hiyo hapa nchini ambapo Bahati nasibu hiyo itaanza mnamo tarehe 4 Julai 2015.Bei ya tiketi zitakazouzwa...

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA TUZO YA BET, EDDY KENZO ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI UGANDA

 Eddy Kenzo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe. Mashabiki wa Kenzo wakimlaki kwa shangwe. Kenzo akilia machozi ya furaha wakati wa mapokezi…

 

5 years ago

Michuzi

Shabiki wa Real Madrid ashinda Mil. 166.3 za M-BET

Dar es Salaam. Shabiki wa timu bingwa kihistoria ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid, Mohamed Ngolo ameshinda sh 166,397.840 kupitia droo ya kwanza ya mchezo wa Perfect 12 unaoendeshwa na kampuni ya M-Bet Tanzania.

Ngolo ambaye fundi katika mkoa wa Manyara ameweza kubashiri kwa usahihi mechi 12 za ligi mbalimbali duniani na kuwa mshindi wa kwanza wa droo ya Perfect 12 mwaka huu.

Meneja Masoko wa kampuni ya M-BET, Allen Mushi alisema kuwa wamerafirijika kupata mshindi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Sadolin Yakabidhi Gari Kwa Mshindi wa Bahati Nasibu

Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari aliloshinda, Bi. Monica Benedict Haule mfanyabiashara ndogondogo za uuzaji wa nguo mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam. Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari aliloshinda, Bi. Monica Benedict Haule mfanyabiashara ndogondogo za uuzaji wa nguo mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam.Mshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule (kulia) akifungua mlango kuingia katika gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa. Pembeni yake ni Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda. Mshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule (kulia) akifungua mlango kuingia katika gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa. Pembeni yake ni Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora MapundaMshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule akiwa ndani ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHIF yakabidhi shuka za mil. 3.5/-

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Tabora, umeikabidhi Hospitali ya Rufaa Kitete msaada wa shuka 150 zenye thamani ya sh milioni 3.5. Akikabidhi msaada huo, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

GPL

STAR TIMES YAKABIDHI PIKIPIKI KWA MSHINDI DROO YA PILI

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi funguo ya pikipiki mshindi wa droo ya pili ya mwezi wa Aprili, Bi Janemerry Suraphel, mkazi wa Dar es Salaam, katika hafla fupi iliyofanyika katika duka la kampuni hiyo zilizopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kujiunga na bahati nasibu hiyo wateja wa StarTimes wanatakiwa kulipia kifurushi kuanzia shilingi 10,000/- na kuendelea. Makamu wa...

 

9 years ago

GPL

MSHINDI WA BSS AONGEZEWA SH. MIL 10

:Jaji Mkuu wa Mashindano ya Bongo Star Search ‘BSS’, Ritha Poulsen ‘Madam Ritha’, akielezea mipango ya  fainali ya mashindano hayo itakavyokuwa siku ya Ijumaa Oktoba 9 mwaka huu katika Ukumbi wa  King Solomon Hall uliopo eneo la Namanga Kinondoni jijini Dar es Salaam. Mmoja wa washiriki wa shindano hilo, Nassib Fonabo, akiimba kwenye kikao hicho.… ...

 

9 years ago

StarTV

Marekani yakabidhi ruzuku ya Sh. Mil. 173

Balozi wa Marekani nchini Mark Childress amekabidhi ruzuku yenye thamani ya shilingi milioni 173 kwa vikundi na mashirika ya kijamiii 14 yanayofanya kazi ya kuboresha maisha ya watanzania kupitia shughuli za maendeleo.

Ruzuku hiyo inatarajiwa kuwanufaisha wananchi wa kipato cha chini zaidi ya 5,000 katika mikoa 12 na kuboresha huduma za kijamii ikiwemo afya, elimu, mazingira na maendeleo ya uchumi.

 Kwa mujibu wa Ubalozi wa Marekani, lengo la ruzuku hiyo ni kusaidia vikundi na mashirika ya...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAKABIDHI MILIONI 50 KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA LEO

Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya hundi kwa Mshindi  wa Promosheni  ya Mimi ni Bingwa, aliyejishindia Shilingi Milioni 50, Bw. Kagombo Rashind Jacob (kushoto). Pembeni ni Meneja Masoko wa Airtel , Upendo Nkini. Meneja Masoko  wa Airtel , Upendo Nkini (kushoto) akikabidhi hundi kwa Mshindi  wa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani