Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maajabu ya kisayansi kuhusu mfumo wa chakula

Umeamka asubuhi, tumbo linanguruma kwa njaa. Unakwenda jikoni na kuchukua mihogo na chai kisha unakula.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA KISAYANSI KUHUSU HUDUMA ZA HALI YA HEWA KUPITIA MODELI YA ‘PRECIS’, KUANZIA TAREHE 29 JUNI HADI 3 JULAI 2015, DAR ES SALAAM, TANZANIA.

Na Monica MutoniMamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) wameandaa mafunzo ya hali ya hewa kwa kutumia modeli ya PRECIS (Providing Regional Climates for Impact Studies) kuanzia tarehe 29 Juni hadi 03 Julai 2015. Warsha/ mafunzo haya yameandaliwa na TMA chini ya mwamvuli wa mradi wa GFCS unaotekelezwa kwa upande wa Afrika katika nchi za Tanzania na Malawi.  Washiriki wa mafunzo hayo kutoka TMA na Kurugenzi ya Hali ya Hewa ya Malawi ...

 

11 years ago

GPL

MATATIZO KATIKA MFUMO WA CHAKULA (GASTRO INTESTINAL DISORDERS)

Jinsi tatizo linavyojitokeza
Matatizo yanayotokea katika mfumo huu ni kama vile vidonda, uvimbe na kasoro za kuzaliwa nazo.
Vidonda vinaweza kuwa kinywani, kooni kwenye njia ya kupitishia chakula, tumboni hadi katika mfuko wa haja kubwa na njia yake ya kutolea. Uvimbe pia hutokea maeneo hayo yote tuliyoyaona na uvimbe huu unaweza kuwa kansa au usiwe na kansa. Kasoro za kuzaliwa nazo ni kama vile kuziba  kwa njia ya...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MASUALA YA LISHE NA CHAKULA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akimpokea Mfalme wa Lesotho,  Mhe. Letsie III (kulia) alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  Kilimanjaro (KIA).  Mfalme Letsie ambaye pia ni Kiongozi wa kuhamasisha masuala ya Chakula na Lishe wa Umoja wa Afrika yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Dunia kuhusu umuhimu wa kuongeza Virutubisho kwenye Chakula. Mkutano huo unafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 09 hadi 11 Septemba,...

 

9 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Kilele wa Dunia kuhusu Chakula na Lishe wafunguliwa Arusha

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda akihutubia kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa unahusu masuala ya Lishe na Chakula uliofanyika jijini Arusha. Mhe. Pinda akihutubia Mfalme wa Lesotho Mhe. Letsie III ambaye nae alihudhuria mkutano huo akihutubia wadau mbalimbali na wageni waalikwa walioshiriki katika mkutano huo (hawapo pichani). Balozi wa Tanzania anayeiwakilisha nchini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Afya afungua semina kwa waandishi wa habari kuhusu usalama wa chakula

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif  (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.

Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...

 

9 years ago

Michuzi

FAHAMU KUHUSU MFUMO WA NGUVU ZA KIUME NA JINSI UNAVYO FANYA KAZI

Unasumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume  ?Unahitaji  kupata  tiba  sahihi  na  ya  uhakika  ya  tatizo  lako ?  Kama  jibu  ni  NDIO  basi  hii  ni  HABARI  NJEMA  SANA   kwako.
NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL FOODS  CLINIC    ni  duka  linalo  uza  dawa  mbalimbali  za  asili.  Tunayo  dawa  asilia iitwayo  JIKO  ambayo  inatibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii  ni  ya  asili  kabisa, isiyo  na...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII DK.RASHID SEIF AFUNGUA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA WA CHAKULA

 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif  (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.  Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani