Maajabu ya Mji wa Dodoma
Mji wa Dodoma ambao ni makao makuu ya nchi, ni maarufu kwa mambo mbalimbali. Lakini yapo maajabu makubwa mawili ambayo hayazungumzwi miongoni mwa sifa zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_LQt5PMSZrU/VfM4ukqbnBI/AAAAAAAABtU/4QahYtzw2w8/s72-c/OTH_1198.jpg)
LOWASSA NDANI YA MJI WA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_LQt5PMSZrU/VfM4ukqbnBI/AAAAAAAABtU/4QahYtzw2w8/s640/OTH_1198.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dFOKPYuP1Ao/VfM4yq3bfII/AAAAAAAABtk/suQEq1F1UYo/s640/OTH_1251.jpg)
11 years ago
Habarileo19 May
Tembo wavamia makazi karibu na Mji wa Dodoma
WATU wawili wakazi wa Kitongoji cha Kawawa, Manispaa ya Dodoma wamekufa baada ya kukanyagwa na tembo wenye hasira jana.
5 years ago
CCM Blog26 May
MJI WA SERIKALI DODOMA UTAKAPOKMILIKA UTAGHARIMU ZAIDI YA TRILIONI 10
Eneo: Jiji la Dodoma imetenga eneo la mji wa Serikali ambao upo katika Kata ya Ihumwa kilomita 17 kutoka katikati ya Mji. Eneo hili lina ukubwa wa Hekta 617.15 sawa na Ekari 1,542.88.Mipaka: Mji wa Serikali kwa upande wa mangaribi unapakana na kambi ya Jeshi ya Ihumwa, Kaskazini-Mashariki unapakana na kata ya Mtumba na upande wa Kusini unapakana na barabara kuu iendayo Dar es salaam.Mgawanyo: Mji wa Serikali umegawanyika katika maeneo tofauti kama ifuatavyo:-Wizara za Serikali, Ofisi za...
9 years ago
Press12 Oct
Dodoma; Nini hasa ni kivutio katika mji huu?
Si jambo geni mtu kuhisi Dar es Salaam ni mji mkuu wa Tanzania, hii ni kutokana na miji mikuu mingi kuwa na idadi kubwa ya watu, vivutio vingi, kukua kimaendeleo na uwepo wa ofisi nyingi za kiserikali.
Dodoma ilijipatia umaarufu wake na kutambulika kama mji mkuu mwaka 1973, hivyo ofisi nyingi zilianza kuhamishia makazi yake ndani ya mji huu, ambapo pia Bunge la Tanzania liliweka makazi yake na kusababisha ongezeko la watu wengi na watumishi wa serikali kutoka mikoa mingine kwa kila msimu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMDvWeKAqiI/VH84Uf8z79I/AAAAAAAG1Cs/VbSUZubwR6w/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Misiba ya vijana Matei na Ogunda yatikisa mji wa Dodoma
9 years ago
Press12 Oct
Dodoma; Nini hasa ni kivutio katika mji huu?
Si jambo geni mtu kuhisi Dar es Salaam ni mji mkuu wa Tanzania, hii ni kutokana na miji mikuu mingi kuwa na idadi kubwa ya watu, vivutio vingi, kukua kimaendeleo na uwepo wa ofisi nyingi za kiserikali.
Dodoma ilijipatia umaarufu wake na kutambulika kama mji mkuu mwaka 1973, hivyo ofisi nyingi zilianza kuhamishia makazi yake ndani ya mji huu, ambapo pia Bunge la Tanzania liliweka makazi yake na kusababisha ongezeko la watu wengi na watumishi wa serikali kutoka mikoa mingine kwa kila...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Kituo cha mabasi Dodoma kuwa nje ya mji
WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli ameagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kuhamishia kituo kikuu cha mabasi cha Dodoma nje ya mji, ili kudhibiti msongamano wa magari unaochangiwa na kukua kwa haraka kwa mji.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jfdcSQR4NIo/VH8x5jmNsSI/AAAAAAAG1Ag/BxyPb69-E_E/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
MSIBA WA VIJANA WAWILI WATIKISA MJI WA DODOMA KWA SIMANZI
Miili ya marehemu hao imeagwa leo kuanzia mchana katika ibada ya pamoja iliyo fanyika katika Uwanja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-liyv1ZFUVqc/XnihoC7_mDI/AAAAAAALkxU/QAfq7-iCdMAGJICMBSgAObq7a0ZiWcr1QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kilomita 39 za Barabara za Lami Zaanza Kujengwa Mji wa Serikali Mtumba Dodoma
Akizungumza leo Machi 20, 2020 katika mahojiano maalum, Katibu wa Kikosi Kazi cha Taifa cha Kuratibu Mpango wa Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshack Bandawe amesema kuwa ujenzi huo unahusisha barabara zenye urefu wa kilomita 39 ndani ya mji huo.
“Serikali inaimarisha miundombinu ndani ya mji wa Serikali ikiwemo ujenzi wa barabara za njia mbili zenye urefu...