Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAAJABU YA MWAKA DAR!

Makongoro Oging’ na Deogratius Mongela HII kali! Mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Alice May John (55) ameilalamikia nyumba yake iliyopo Sinza ‘D’ (Madukani) wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam kwamba, ina mauzauza ya kutisha, hali inayowafanya wapangaji kuikimbia kila wakati kwa kuhofia maisha yao. Alice May John anayelalamikia nyumba yake iliyopo Sinza ‘D’ (Madukani) kuwa na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BELLA KUFANYA MAAJABU DAR LIVE

Mikito Nusunusu
KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kufanya maajabu Juni 6, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. King of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’. Akizungumzia na Mikito Nusunusu, mratibu wa burudani wa ukumbi huo, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ alisema kuwa siku hiyo Bella atauzindua wimbo...

 

10 years ago

GPL

PROFESA CALABASH AFANYA MAAJABU DAR LIVE

Mtaalam wa michezo ya watoto na maigizo nchini, Profesa Calabash katika sikukuu ya Eid al Hajj, Oktoba 5, 2014 alifanya maajabu ndani ya Ukumbi wa burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakhem, jijini Dar.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF: TUTAFANYA MAAJABU DAR LIVE

WAKALI wa muziki nchini Diamond Platnumz na Mzee Yusuf wameahidi kufanya shoo ya nguvu katika Sikukuu ya Krismasi kwenye Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live katika Tamasha la Wafalme.

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE YA MAOFISA MAGEREZA KUUAGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2015 YAFANA JIJINI DAR

Mgeni rasmi, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe akitoa hotuba fupi kwa Maofisa wa Jeshi la Magereza(hawapo pichani) katika sherehe ya kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya 2015. sherehe hiyo imefanyika Januari 9, 2015 katika Ukumbi wa Bwalo Kuu la Maafisa Magereza, Ukonga, Jijini Dar es Salaam.Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja akitoa neno fupi kabla ya kumkaribisha rasmi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe(wa tatu...

 

10 years ago

GPL

MWAKA MPYA ULIVYOFUNIKA DAR LIVE

Wapenzi wa burudani wakipiga picha 'Red Carpet'. Umati wa mashabiki wa burudani wakisherehekea Mwaka Mpya 2015. Shampeni zikifunguliwa kwa fujo.…

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA MWAKA WA JET WAFANYIKA DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa JET, John Chikomo akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya uendeshaji wa chama cha waandishi wa habari za mazingira kwenye mkutano huo.Baadhi ya viongozi wa chama cha waandishi wa habari za mazingira JET katika mkutano wa mwaka wa chama hicho ulioganyika jijini Dar Es Salaam, kutoka kushoto ni Mkurugenxi Mtendaji wa JET John Chikomo, Mwenyekiti wa JET Johnson Mbwambo, Katibu Mtendaji wa JET Chris Rweyemamu na Makamu Mwenyekiti wa JET Aisha Dachi.Baadhi ya waandishi wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Twanga Pepeta kufungua mwaka Dar Live

Ali Choki - Twanga_6 Na Mwandishi Wetu
BENDI kongwe ya muziki wa Dansi nchini, The African Stars International ‘Twanga Pepeta’ Januari 1 ambayo pia ni Sikukuu ya Mwaka Mpya, wanatarajiwa kufungua mwaka kwa kishindo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Ali Choki -Twanga_5Akizungumza na gazeti hili, Meneja wa Dar Live, Juma Mbizo alisema kuwa siku zote ukumbi huo hauishi kwa burudani na safari hii katika Sikukuu ya Mwaka Mpya wamewaandalia bendi isiyoshikika Bongo ya Twanga Pepeta ambayo...

 

9 years ago

Global Publishers

Bella kufunga mwaka na Koffi, Dar Live

BELAKING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’.

Na Mwandishi Wetu

KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kufunga mwaka (Desemba 31) na wimbo alioufanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide uitwao Acha Kabisa, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na mtandao huu, Bella anayetamba na Wimbo wa Nashindwa alisema usiku huo mashabiki watafunga mwaka kwa kuimba na kucheza ngoma zake zote kali kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani