Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maajabu ya Zanzibar yamshangaza Tambwe

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ameyaaga mashindano ya Kombe la Mapinduzi bila kuwa na bao lakini amesema hatayasahau maajabu aliyoyapata katika mechi zao mbili za mwisho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Chelsea yamshangaza Koeman

Kocha wa Southampton, Ronald Koeman ameshangazwa na hali ya sasa ya Chelsea kushindwa kufanya vizuri, lakini hadhani kama hali hiyo itamuathiri rafiki wake wa zamani, Jose Mourinho.

 

11 years ago

Habarileo

Maajabu ya Madiba

KATIKA uhai wake mpambanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, Nelson Mandela, aliishangaza dunia alipotangaza msamaha kwa waliomtesa na akiwa marehemu, amekutanisha viongozi mahasimu wa kisiasa duniani katika uwanja mmoja wakimuaga. Hicho ndicho kilichomsukuma mshindi mwenzake wa Tuzo ya Nobel, Askofu Desmond Tutu, kusema Mandela alikuwa wa maajabu na alionesha maajabu akiwa hivi sasa ni marehemu.

 

11 years ago

GPL

MAAJABU YA MUNGU!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro KATIKA hali ya kushangaza, wagonjwa wa mtindio wa ubongo, Paul Ngido na Asha Yahya wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali wakiwemo yatima cha Ngido kilichopo Mazimbu FK mkoani hapa wamejikuta wakizaa watoto wawili, Keisha na Glory ndani ya kituo hicho. Paul Ngido na Asha Yahya  wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali waliowazaa watoto Keisha na...

 

11 years ago

Mwananchi

Maajabu ya damu mwilini (4)

Kama vilivyo viungo vingine vya mwili, damu nayo ina changamoto ya kukumbana na maradhi mbalimbali. Magonjwa yanayoathiri utendaji wa damu yanaweza kugawanywa katika makundi kama vile ya kurithi, kuambukiza, mabadiliko ya kimwili na saratani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maajabu ya ndizi mbivu

INAVUTIA, baada ya kuisoma makala hii, hautaiangalia ndizi katika mtazamo wa awali. Ndizi mbivu zina aina tatu ya sukari ambazo ni sucrose, fructose na glucose pamoja Fibre (nyuzilishe). Ndizi zinakupa...

 

11 years ago

Mwananchi

Maajabu ya damu mwilini

Mwili wa binadamu umesheheni vitu vingi sana, lakini moja ya vitu vinavyoshangaza ni damu. Kiungo hiki ni moja ya ogani ya mwili ya kipekee ambayo ipo katika maumbile ya kimiminika

 

10 years ago

GPL

MAAJABU YA MTOTO KUFUFUKA

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
MAAJABU! Mtoto Irene Emmanuel Joseph (1) mkazi wa Kibamba-Mji Mpya jijini Dar, ameendelea kuwa gumzo kufuatia kufariki dunia Agosti, mwaka jana akiwa na miezi 9 na kudaiwa kufufuka katika mazingira ya ajabu hivi karibuni akiwa na umri wa mwaka mmoja na miezi minne, Uwazi linakuletea. ...

 

10 years ago

GPL

MAAJABU YA MWAKA DAR!

Makongoro Oging’ na Deogratius Mongela HII kali! Mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Alice May John (55) ameilalamikia nyumba yake iliyopo Sinza ‘D’ (Madukani) wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam kwamba, ina mauzauza ya kutisha, hali inayowafanya wapangaji kuikimbia kila wakati kwa kuhofia maisha yao. Alice May John anayelalamikia nyumba yake iliyopo Sinza ‘D’ (Madukani) kuwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Maajabu ya damu mwilini (5)

Baada ya kuona jinsi ugonjwa wa selimundu unavyotokea na namna unavyoweza kurithiwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine, katika sehemu hii ya tano utafahamu dalili, namna inavyochunguzwa na suala la matibabu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani