Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAALIM SEIF AKABIDHI MSAADA WA MAAFA

Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui (kulia), akikabidhi fedha taslimu shilingi milioni 15 kwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Abdallah Mwinyi Khamis, kusaidia watu waliopatwa na maafa yaliyotokana na mvua. Anayeshuhudia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad.Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Abdallah Mwinyi Khamis, akifurahi pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, baada ya kukabidhiwa shilingi milioni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AKITEMBELEA SEHEMU ZILIZOPATA MAAFA ZANZIBAR

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maeneo yaliyoathiriwa na mvua katika shehia za Mwanakwerekwe, Jang’ombe na Kwahani.Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Khalid Salum, akimuonyesha Maalim Seif maeneo yaliyoathirika na mvua huko Mwanakwerekwe.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitoa maelekezo, wakati akitembelea maeneo yaliyoathirika na mvua katika manispaa ya Zanzibar.Makamu wa Kwanza wa...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif akabidhi kompyuta kwa Jumuiya ya Al-Noor Charitable Agency

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akikabidhi kompyuta kwa Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya Al-Noor Charitable Agency, Sheikh Nadir Mahfoudh kwa ajili ya Radio Al-Noor ilipata ajali ya kuungua moto mwezi April mwaka huu. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akikabidhi kompyuta kwa Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya Al-Noor Charitable Agency, Sheikh Nadir Mahfoudh nyumbani kwake Mbweni, kwa ajili ya Radio Al-Noor iliyopata ajali ya kuungua...

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi Seif amponda Maalim Seif

>Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Balozi Seif Idd ametangaza vita kwa mtu yeyote anayepanga njama za kuvuruga mchakato wa Rasimu ya Pili ya Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete akabidhi msaada wa pikipiki Arusha

RAIS Jakaya Kikwete amekabidhi msaada wa pikipiki 10 kwa chama cha Akiba na Mikopo cha Waendesha Pikipiki katika Jiji la Arusha (UWAPA SACCOS), zenye thamani ya Sh milioni 15.9.

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Seif akabidhi vifaa vya ujenzi jimboni

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi vifaa vya ujenzi kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Tawi la Chama cha Mapinduzi Kwa Gube Mfenesini.
Kulia ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa CCM wa Tawi la CCM la Kwa Gube Ndugu Salum Ali Mzee.Balozi Seif akizungumza na Wana CCM wa Tawi la Kwa Gube mara baada ya kukabidhi vifaa kuendeleza ujenzi wa Tawi hilo.
Kushoto yake ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi, Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kwa Gube Nd. Sal;im Ali Mzee na kulia ya Balozi Seif ni...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif akabidhi michango yake wa Wabunge wa Singida

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewapongeza Wabunge na Viongozi wa Mkoa wa Singida kwa kazi kubwa wanazoendelea kuzifanya za kusimamia miradi ya Kiuchumi na ustawi wa Jamii ya wananchi wa Mkoa huo.
Amesema usimamizi huo umeufanya Mkoa huo kuongezeka harakati za maendeleo jambo ambalo wananchi walio wengi wameonyesha muelekeo mkubwa wa kujitegemea kimaisha.
Balozi Seif alisema hayo wakati wa hafla fupi ya kukabidhi michango na kupunguza ahadi alizozitoa wakati wa ziara...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE MGIMWA AKABIDHI MSAADA KWA TOSAMAGANGA

Mbunge wa jimbo la Kalenga Wilaya ya Iringa mkoani Iringa Bw Godfrey Mgimwa.
MBUNGE wa jimbo la kalenga Wilaya ya Iringa mkoani Iringa Bw Godfrey Mgimwa ametoa msaada wa bati 50 na vitu mbali mbali vyote Vikiwa na thamani ya zaidi ya Tsh milioni 3.5 kwa ajili ya watoto yatima wa kituo cha Tosamaganga kata y a Kalenga.
Mbunge huyo amekabidhi msaada leo Mbunge Mgimwa alisema kuwa amelazimika kutoa msaada huo kama sehemu ya kuhamasisha jamii hapa nchini kujenga utamaduni ya kusaidia watoto yatima...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA MKOA WA RUKWA AKABIDHI MSAADA WA BOTI

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akiwakabidhi funguo ya boti na "Life Jacket 8" kwa Uongozi wa kijiji cha Ilanga/Muze ikiwa ni sehemu ya msaada wa boti na Injini moja kusaidia huduma za afya ya mama wajawazito na wagonjwa mwambao wa Ziwa Rukwa. …

 

9 years ago

Michuzi

MAJALIWA AKABIDHI MSAADA WA PIKIPIKI NA PAMPU ZA MAJI

pu3Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi  Bw.Bakari Amir pampu  mbili za kusukuma maji na mipira yake, Mwenyekiti wa kikundi cha kufyatua matofali ya kuchoma cha Jitumecha kilichopo eneo la Gogovivu wilayani Ruangwa  Desemba 23, 2015.  Pampu hizo zitawapunguzia wnakikundi mzigo wa kubeba maji toka mtoni.  pu4 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi funguo na kadi ya pikipiki Mwenyekiti wa kikundi cha Bodaboda Mkowe cha kijiji cha Nandagara, Yahya Chitanda ambayo ameikipatia kikundi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani