Maalim Seif kupandisha Mshahara pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-cGhft-4F4Rs/Vg68_vGfopI/AAAAAAAB_54/wUm5QLiwc50/s72-c/MAS%2BPIC.jpg)
Mgombea Urais kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia katika mkutano wa hadhara uwanja wa Masumbani jimbo la Chumbuni jana.
Wanachama na wafuasi wa CUF wakimsikiliza Maalim Seif huko uwanja wa Masumbani jana.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema akichaguliwa atakuza uwezo wa Serikali kujiongezea mapato na ataongeza kima cha chini cha mshahara hadi kufikia 400,000.
Akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s72-c/pix%2Btum.jpg)
Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s640/pix%2Btum.jpg)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Maalim Seif kupandisha mishahara akichaguli kuwa Rais
Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad (CUF) akihutubia katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu kwenye uwanja wa Masumbani, jimbo la Chumbuni juzi. Na Khamis Haji , OMKR Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama […]
The post Maalim Seif kupandisha mishahara akichaguli kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
VijimamboMaalim Seif kuifungua Zanzibar kiuchumi na kibiashara pindipo akipata ridhaa za wananchi
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Maalim Seif: Najisikia raha kuwa mgombea pekee wa urais Z’bar
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
Maalim Seif azindua ajenda ya kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akijibu maswali ya wanafunzi wa vyuo vikuu baada ya kuzindua ajenda ya chama chake ya kuifanya Zanzibar, kuwa kama Singapore. Na Hassan Hamad, OMKR […]
The post Maalim Seif azindua ajenda ya kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Maalim Seif kuzindua mpango wa kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi na wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi mkuu uliyofanyika Jimbo la Mkwanjuni, Kaskazini Unguja. Na Hassan Hamad, OMKR […]
The post Maalim Seif kuzindua mpango wa kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MichuziMAALIM SEIF ATEMBELEA KISIMA KINACHOSADIKIWA KUWA NA MAFUTA KATIKA ENEO LA TUNDAUWA,ZANZIBAR
Amesema kwa miaka mingi Zanzibar imeshindwa kuchimba mafuta yake kutokana na kutokuwepo mikakati imara, na kuahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atahakikisha kuwa suala hilo linawekewa mikakati imara ya...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Maalim Seif amwandikia barua Rais Kikwete
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e4ug84pKEIo/VjnaS_1pgeI/AAAAAAADByI/0Mq8RJf9hC4/s72-c/jk3.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SHARIFF SEIF HAMAD
![](http://4.bp.blogspot.com/-e4ug84pKEIo/VjnaS_1pgeI/AAAAAAADByI/0Mq8RJf9hC4/s1600/jk3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A6jWzZsyHCY/VjnaS-nUmQI/AAAAAAADByE/ITZLHWoE2aw/s640/m1.jpg)