Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandalizi yanahitajika mbio za ‘Sokoine Day’

SOKOINE Min Marathon 2014 imefanyika mwishoni mwa wiki kuadhimisha miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Moringe Sokoine, kijijini kwake Monduli Juu mkoani Arusha. Waziri huyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mh. Lowassa akagua maandalizi ya Sokoine day Monduli Juu

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipata maelezo kutoka kwa watoto wa Marehemu Edward Sokoine aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Namelok Sokoine (MB) na Joseph Sokoine ambaye ni Afisa katika Ubalozi wa Tanzania nchini Canada, kuhusiana na maandalizi ya maadhimisho ya miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli,Marehemu Edward Moringe Sokoine, yatakayoadhimishwa kesho April 12. Rais Jakaya Kikwete ataongoza maadhimisho hayo pamoja...

 

10 years ago

Michuzi

Hatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015

Mabango mbalimbali yakiwa yamewekwa maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi kuashiria kuanza kwa shamrashamra za mbio za Kilimanjaro Marathoni.Baadhi ya wageni wakijiandikisha kukimbia mbio ndefu za kilometa 42 ambapo zoezi la uandikishaji linafanyika katika hotel ya Keys mjini Moshi.Washiriki wa mbio za Kilometa 21 zinazodhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Tigo wakijiandikisha kwa ajili ya kupata namba maalumu wakati wa kukimbia mbio hizo. Baadhi ya wakimbiaji wakijaza fomu kwa ajili ya...

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2015

  Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (kulia)akishaurina na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(katikati) leo mjini Songea wakati wa mazoezi ya mwisho ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2015.Wengine ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana James Kajugusi(mwenye kofia nyeupe) na Katibu wa Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Juma Mswadiki(mwenye tshirt ya bluu bahari)
 Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI MBIO ZA MAGARI YAKAMILIKA,SASA KUFANYIKA JUMAPILI HII MAENEO YA KIA

Baadhi ya magari yakiingia uwanjani kwa ajili ya ukaguzi wa mwisho kabla ya mashindano.

Mafundi wakiweka mafuta ya ndege katika moja ya magari yanayoshiriki mbio hizo.
Magari yanaotajwa kutoa ushindani mkali katika mbio hizo.Mamboz na Madebe linalotajwa kufungwa injini mpya ambayo bado kilometa zake zinasoma 0.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Vijimambo

MAZOEZI YA MWISHO YA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2015 MJINI SONGEA

3Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (katikati)akishaurina na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(kushotoi) na Waziri wa Uwezeshaji , Ustawi wa Jamii , Vijana ,wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Zainabu Omary Mohamed(kulia) leo mjini Songea wakati wa mazoezi ya mwisho ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2015, utakaozinduliwa tarehe 29.4.2015 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

11 years ago

Michuzi

maandalizi ya siku ya Taifa ( National Day) kusherehekea miaka 50 ya Muungano mjini Dubai

 Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai,  Mhe. Omar Mjenga,  amefanya kikao cha maandalizi ya siku ya Taifa ( National Day) kusherehekea miaka 50 ya Muungano pamoja na uongozi wa Jumuiya ya Watanzania waishio UAE makao yao yakiwa Dubai.   Kushoto ni ndugu Shabir Damji, katibu wa Jumuiya, kati ni Bi Shamira ambaye ni  mwenyeji wa sherehe hizo katika Le Meridien Hotel na Mhe Omar Mjenga, mjini Dubai leo. Chini wakipanga namna ya kufanikisha sherehe hizo

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya tiketi za kielektroniki yanahitajika

>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wiki iliyopita lilisitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vyote vinavyotumika kwa mechi za Ligi Kuu bara mpaka itakapotolewa taarifa nyingine.

 

5 years ago

Business Insider

Coronavirus symptoms: How the COVID-19 disease progresses day by day - Business Insider

Coronavirus symptoms: How the COVID-19 disease progresses day by day - Business Insider  Business InsiderCoronavirus may be the ‘disease X’ health agency warned about - The Jakarta Post  Jakarta PostCoronavirus UK: Pathogen may be ‘Disease X’ World Health Organization warned about  Express.co.ukWhat Is Coronavirus?  Johns Hopkins MedicineCoronavirus Latest: Virus May Be 'Disease X'  BloombergView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani