Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano ya kutowastahamili, kutowaridhia wageni Ujerumani

Kuna hatari ya kuenea chuki dhidi ya raia wa kigeni Ujerumani. Hisia dhidi ya Uislamu zimezidi siku hizi katika nchi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano makubwa yafanyika Ujerumani

Maandamano makubwa yamefanyika nchini Ujerumani kwa wanaopinga na kuunga mkono uislamu na wahamiaji

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi 70 wajeruhiwa katika maandamano Ujerumani

Meya wa Leipzig nchini Ujerumani ameeleza kushtuka kufuatia kujeruhiwa kwa maafisa wa polisi 70 waliokabiliana na waandamanaji waliokuwa wakipinga wafasisti

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

9 years ago

GPL

WAGENI WALIOITEKA MAREKANI


Rihanna. Hans Mloli na mtandao
WAHAMIAJI wapo kila mahali duniani lakini mara kadhaa huwa ni ngumu sana kung’ara au kuonyesha kipaji chako mbele ya wenyeji na kuwafunika kirahisi. Drake. Lakini wakati mwingine ishu ni kujiamini na kuendelea kupambana kama ilivyotokea…

 

11 years ago

Habarileo

Wageni wanavyopata ajira za Watanzania

UWEPO wa vyombo mbalimbali vinavyotoa kibali cha kufanya kazi nchini, umetoa mwanya kwa wageni kuingia nchini na kuajiriwa katika nafasi za kazi, ambazo baadhi hata Watanzania wana uwezo wa kuzijaza. Mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), Rais Jakaya Kikwete alisema Serikali imebaini kuwa tatizo hilo la kutolewa kwa vibali kiholela, linatokana na vibali hivyo, kutolewa na taasisi zaidi ya moja.

 

11 years ago

Mwananchi

Padri afia nyumba ya wageni

>Kiongozi wa Kanisa amekutwa akiwa amefariki dunia kwenye nyumba ya kulala wageni jijini Nairobi na kufanya vifo vya kutatanisha vya viongozi wa kidini kufikia wawili wiki hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Fundi afia nyumba ya wageni

Fundi radio maarufu mjini Singida, Daniel Mosha (50), amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya mkoa mjini hapa, baada ya kuugua ghafla akiwa amelala katika nyumba ya kulala wageni na rafiki yake wa kike.

 

10 years ago

Habarileo

Wageni wakaguliwa kubaini ebola

WAGENI wanaoingia visiwani Zanzibar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amaan Karume, wameanza kukaguliwa kwa kutumia vifaa vya kugundua dalili za ugonjwa wa homa ya ebola.

 

9 years ago

Mwananchi

Mashirika na wageni wanavyokuza Kiswahili

Nchi za Skandinavia ni Sweden, Denmark, Norway na Finland. Nchi hizi zimekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa letu.Tumeshuhudia miradi  mbalimbali ikidhaminiwa na nchi hizi mathalan mradi wa maji uliodhaminiwa na Denmark  kupitia wakala wake wa DANIDA. Mawakala wengine wa nchi hizi ni SIDA kutoka Sweden na NORAD kutoka Norway.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani