Maandamano ya kutowastahamili, kutowaridhia wageni Ujerumani
Kuna hatari ya kuenea chuki dhidi ya raia wa kigeni Ujerumani. Hisia dhidi ya Uislamu zimezidi siku hizi katika nchi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Maandamano makubwa yafanyika Ujerumani
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Polisi 70 wajeruhiwa katika maandamano Ujerumani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9oFujioYLIUB1nV334WMY4QF-aWeNwwP2tUoCP7dcFbNMQfpESXmZYREut3arm3izoytifIQn8*9vz04Arg7U0n/Rihanna2319635.jpg?width=650)
WAGENI WALIOITEKA MAREKANI
11 years ago
Habarileo05 May
Wageni wanavyopata ajira za Watanzania
UWEPO wa vyombo mbalimbali vinavyotoa kibali cha kufanya kazi nchini, umetoa mwanya kwa wageni kuingia nchini na kuajiriwa katika nafasi za kazi, ambazo baadhi hata Watanzania wana uwezo wa kuzijaza. Mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), Rais Jakaya Kikwete alisema Serikali imebaini kuwa tatizo hilo la kutolewa kwa vibali kiholela, linatokana na vibali hivyo, kutolewa na taasisi zaidi ya moja.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Padri afia nyumba ya wageni
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Fundi afia nyumba ya wageni
10 years ago
Habarileo06 Sep
Wageni wakaguliwa kubaini ebola
WAGENI wanaoingia visiwani Zanzibar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amaan Karume, wameanza kukaguliwa kwa kutumia vifaa vya kugundua dalili za ugonjwa wa homa ya ebola.
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Mashirika na wageni wanavyokuza Kiswahili