MABASI YA MIKOANI KUKAGULIWA LESENI DAR
Askari wa usalama barabarani wakikagua mabasi ya mikoani.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Nauli za mabasi mikoani zashuka
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imepunguza nauli za mabasi ya mikoani huku ikitangaza kubaki kama zilivyokuwa, zile za daladala baada ya ukokotoaji wake kuonyesha tofauti ndogo ya punguzo kulinganisha na viwango vya sasa.
10 years ago
Habarileo13 Nov
Sumatra kubana mabasi ya mikoani
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (Sumatra) imebaini baadhi ya mabasi yaendayo mikoani, yameondoa orodha ya namba za simu zilizobandikwa na hivyo kuagiza kufikia leo, ziwe zimebandikwa.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Usafiri wa mabasi ya mikoani Ubungo balaa
Hali ya usafiri kwenye kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo (UBT) ni mbaya hasa kwa mabasi yanayokwenda Kilimanjaro na Arusha.
11 years ago
Mwananchi03 Sep
Ujenzi kituo cha mabasi mikoani ‘danadana’
Ujenzi wa kituo cha mabasi ya mikoani, eneo la Mbezi Luis, uko njia panda kutokana na kukosekana fedha kutoka kwa wabia wa mradi huo.
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Vituo mabasi yaendayo mikoani vijengwe sasa
Kama kuna jambo ambalo Serikali itakuja kulijutia muda si mrefu kutoka sasa; ni ucheleweshaji usio na sababu wa ujenzi wa vituo vya mabasi yaendayo mikoani kutoka jijini Dar es Salaam.
9 years ago
MichuziABILIA WAKIWA STENDI KUU YA MABASI YA KWENDA MIKOANI (UBUNGO)
11 years ago
Michuzi06 Mar
hoja ya haja: Stendi ya Mabasi ya Mikoani Mbezi Luis au Luguruni?
Moja ya kero kubwa hapa Dar ni msongamano unaotokana na kutopangilia miundombinu na huduma vizuri. Kwenye magazeti ya siku za karibuni, imeripotiwa kuwa mpango wa kujenga stendi ya mabasi yaendayo mikoani eneo la Mbezi Luis umekwama kwa sababu eneo lile halifai kutokana na kuwepo mkondo wa maji.
Nimekuwa najiuliza kwa nini kujengwa stendi pale mahali hajapapimwa (hivyo ni vigumu kujengwa huduma za mahoteli, nk na kumwaga maji taka)... wakati mbele kidogo tu pale Luguruni kuna eneo kubwa...
10 years ago
Michuzi
SUMATRA yaanza ukaguzi wa tiketi katika mabasi yaendayo mikoani

SUMATRA imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa kuna baadhi ya vyombo vya usafiri hasa mabasi ya Mikoani kuwa na tabia ya kuongeza nauli hasa katika kipindi hiki cha msimu sikukuu za Krismas na Mwaka mpya,ambapo mapema leo asubuhi maafisa wa Mamlaka ya Usafirishaji Tanzania (SUMATRA) walitia timu katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania