Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabilioni ya Azam yabeba Kombe la FA

Kampuni ya Azam Media imedhamini mashindano ya Kombe la Chama cha Soka (FA) yanayosimamiwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)  kwa Sh3.3 bilioni, ambayo mwaka huu yatashirikisha timu 64.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali yabeba madeni ya TTCL ya mabilioni

 Profesa Makame MbarawaSERIKALI imebeba madeni ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ya mabilioni ya fedha na kuiruhusu kukopa hadi Sh bilioni 96.4 kutoka katika taasisi za fedha.

 

11 years ago

GPL

AZAM FC WALIVYOKABIDHIWA KOMBE LAO

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) akimkabidhi Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, nahodha wa Azam FC, John Bocco jana jioni baada ya kuifunga JKT Ruvu bao 1-0 katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar. Azam FC wakishangilia…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam yatema kombe Mapinduzi

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC, jana walivuliwa taji baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka timu ya Halmashauri ya Jiji la Kampala Uganda (KCC), katika mechi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Azam FC yatamba kubakisha Kombe

AZAM FC leo ina kazi moja ya kuhakikisha Kombe la Kagame linabaki nchini itakapocheza fainali dhidi ya Gor Mahia ya Kenya kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

AZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

TIMU ya Azam FC imeondolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ferroviario de Beira ya Msumbuji. Kwa matokeo hayo, Azam imeondolewa kwa mabao 2-1 baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Chamazi, Dar kushinda bao 1-0 .

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015

Kombe la Kagame walilotwaa Azam FC. (Picha zote na Francis Dande) Nahodha wa Azam John Bocco akipokea kitita cha dola za kimarekani dola elfu 30.Viongozi wa Azam pamoja na wachezaji wakiwa katika picha ya pamoja.
 Wachezaji wa Azam FC wakishangilia wakiwa na Kombe lao baada ya kukabidhiwa katika mchezo wa fainali baada ya kuifunga Gor Mahia ya Kenya 2-0.Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame...

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA

>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Vijimambo

AZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO

Rais wa TFF Jamal Malinzi ( kushoto ) akiwa na Mkurugenzi wa Azam media Rhys ThorringtonShirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa udhamini wa kampuni ya Azam Media kupitia Azamtv Sports leo wamezindua kombe la Shirikisho litakalofahamika kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) ambalo litaanza kutimua vumbi mwezi Novemba mwaka huu kwa kushirikisha timu 64 nchini. 


Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...

 

9 years ago

Michuzi

SIMU TV: MPAMBANO WA KOMBE LA HISANI AZAM VS YANGA

SIMUtv: Mpambano wa kinyanganyiro cha kombe la ngao ya hisani kati ya Azam FC na Yanga umepamba moto huku bao bado ni bila. https://youtu.be/MbaSDAaq3XMSIMUtv: Mambo ya Msuva dimbani ni hatari sana, hebu cheki  akionyesha jitihada na maujuzi yake dhidi ya goli  la Azam; http://simu.tv/OvKYhrOSIMUtv: Ule wasaa uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu hatimaye umewasilili, dimbani ni Yanga FC na Azam FC  wakilisakata . Endela kuwa na Simu.Tvhttps://youtu.be/cjSAxyHE5kASIMUtv:  Ni dakika ya 15 si yanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani