Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MABOMU SABA YA KURUSHWA YAKAMATWA NYUMBANI KWA MTU ARUSHA.

Jeshi la Polisi limekamata mabomu saba ya kutupa kwa mkono, risasi sita za bunduki aina ya Shortgun, mapanga mawili na bisibisi moja, katika operesheni dhidi ya matukio ya mabomu mjini Arusha.Jeshi hilo pia linawashikilia Jeshi hilo pia linawashikilia watu 25 kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya milipuko ya mabomu katika nyumba za ibada, mkutano wa hadhara wa Chadema, mgahawa na nyumba za viongozi wa dini. Mabomu hayo yamekamatwa eneo la Sombetini nyumbani kwa Yusufu Ali (30) ambaye...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mabomu saba yakamatwa Arusha, 25 watiwa mbaroni

>Jeshi la Polisi limekamata mabomu saba ya kutupa kwa mkono, risasi sita za bunduki aina ya Shortgun, mapanga mawili na bisibisi moja, katika operesheni dhidi ya matukio ya mabomu mjini hapa.

 

10 years ago

Vijimambo

DURHAM WACHANGIA JIJI LA ARUSHA KWA KUFANYA ONESHO LA SABA SABA FAIR TRADE

Mrs Nturu mmoja ya waandaji wa saba saba fair trade iliyofanyika Jumapili Aug 30, 2015 jijini Durham, North Carolina kwa ajili ya kuchangia mji wa Afrusha ambao ni mji dada na mji wa Durham.Mmoja ya wajasiliamali akionyesha bidhaa zake kwa wageni waliofika. Nashona akimwelekeza mmoja ya wageni waliofika leo jinsi ya uvaaji khanga.
David Mngondo akiongea na  mmoja ya wageni wahudhuriaji saba saba day.
Meza nyingi ya familia ya Kitanzania wakitangaza bidhaa zao.



 

5 years ago

BBCSwahili

Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia

Wanamgambo wa Al- shabab wamekuwa wakifanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi nchini Somalia.

 

11 years ago

GPL

UWOYA BANA! AFANYA FUJO KUBWA NYUMBANI KWA MUME WA MTU

Stori: Shakoor Jongo NYOTA wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya amesababisha tena! Safari hii amekinukisha nyumbani kwa mwanaume aliyewahi kuwa mpenzi wake (jina tunalo) kufuatia jamaa huyo kufunga ndoa na mwanamke mwingine na kumfanya Uwoya kuendelea kuwa ‘nyumba ndogo’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, ishu hiyo ilichukua nafasi juzikati, nyumbani kwa mwanaume huyo, Sinza-Mori jijini Dar es Salaam. Nyota wa...

 

11 years ago

Bongo Movies

EXCLUSIVE!! Irene uwoya afunguka juu ya tuhuma za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu!

NYOTA wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya amefunguka juu ya tuhuma za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu zilizoripotiwa na mitandao mbalimbali ya habari nchini hivi karibuni.

Akizungumza exclusively nasi, Irene amesema kuwa haelewi hizo tuhuma zimetoka wapi na wala hajui aanzie wapi kuzijibu maana siyo yote yaliyoripotiwa ni kweli.

Tuhuma hizo zilidai kuwa, mwanadada huyo mrembo alienda kuleta timbwili nyumbani kwa mume wa mtu huyo baada ya kusikia kuwa jamaa huyoa ameamua kuoa na kumoiga...

 

5 years ago

Michuzi

DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET



Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Afisa elimu...

 

11 years ago

Habarileo

Ushahidi mabomu ya Arusha watakiwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amemtaka Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari (Chadema), kuwasilisha tuhuma zote alizonazo dhidi ya Polisi, kudaiwa kumtesa mtuhumiwa wa bomu lililolipuka katika eneo la Olositi, mkoani Arusha kwenye mkutano wa Chadema.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabomu yazidi kutikisa Arusha

>Milipuko ya mabomu nchini inazidi kuongezeka baada ya bomu jingine kulipuka mjini Arusha na kujeruhi vibaya watu wanane wenye asili ya Kiasia katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine ulioko eneo la Arusha Gymkhana.

 

11 years ago

Habarileo

Watuhumiwa mabomu Arusha watajwa

WATUHUMIWA 19 wa ulipuaji mabomu mkoani Arusha, majina yao yamewekwa hadharani jana na leo wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayowakabili. Watuhumiwa hao ni pamoja wanaodaiwa kuhusika katika ulipuaji wa bomu katika viwanja vya Soweto, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za udiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliofanyika Juni 15, 2013.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani