Madaktari bingwa waitesa Serikali
Makao makuu Wizara ya Afya
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
TANZANIA inakabiliwa na uhaba wa madaktari bingwa wa upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu.
Hadi sasa madaktari bingwa waliopo nchini ni watano hali inayowalazimu kufanya kazi kuliko uwezo wao, kwa mujibu wa taaluma ya upasuaji.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Tiba ya Upasuaji wa Mifupa ya Fahamu (MOI), Dk. Othman Kiloloma, alisema hadi sasa kuna madaktari bingwa watano tu wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8OwwPQAVC2w/Vl7i3U7elBI/AAAAAAAIJxg/QnlHQDoAOT8/s72-c/mbando-august22-2014.jpg)
SERIKALI KUTUMIA TSH. BILIONI 5 KUHUDUMIA KAMBI ZA MADAKTARI BINGWA WA MOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8OwwPQAVC2w/Vl7i3U7elBI/AAAAAAAIJxg/QnlHQDoAOT8/s320/mbando-august22-2014.jpg)
Lengo la mkakati huo ni kuhakikisha Wagonjwa wengi wanahudumiwa katika kipindi kifupi pamoja na kupunguza gharama za kusafirisha wagonjwa nje ya nchi, ambao wengi wao husafiri kwa ajili ya matibabu ya magonjwa ya moyo, figo na...
11 years ago
MichuziSerikali kuendelea kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA)
Katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif Rashid katika uzinduzi wa Kongamano la 23 la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa mwaka wa wanachama Chama Cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA).
Kongamano hilo la siku tatu lilianza juzi na linamalizika leo, Dar es salaam ambapo Pinda alisema kuwa...
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
‘Tunahitaji madaktari bingwa wa figo’
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii inakabiliwa na upungufu wa madaktari bingwa wa figo na mashine za kusafisha damu. Hayo yalibainishwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Madaktari bingwa wa mgongo waja
MADAKTARI bingwa wa viungo na mgongo kutoka India, wanatarajia kuwasili nchini wiki hii kwa ajili ya kuwachunguza na kutibu watu wenye maradhi hayo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na hospitali...
11 years ago
Mwananchi17 May
Madaktari Bingwa Radiolojia ‘mgogoro’ Moi
10 years ago
MichuziUZINDUZI WA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA SHINYANGA
11 years ago
Habarileo09 Jan
Selian yaanzisha mafunzo ya madaktari bingwa
HOSPITALI ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati (ALMC), maarufu kama Selian, imezindua mafunzo ya miaka mitano kwa madaktari bingwa wa upasuaji.
10 years ago
MichuziTabora wafurahia huduma za madaktari Bingwa
WAGONJWA waliofika na kupata huduma za Madaktari Bingwa ambao wapo kwenye mpango unaoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wamefurahia huduma hizo na kusema kwamba zimeokoa fedha nyingi ambazo wangetakiwa kuzitumia kusafiri kufuata huduma hizo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika Hospitali ya Mkoa wa Tabora, Kitete, walisema kwamba ujio wa Madaktari hao umewasaidia kupata huduma nzuri na zinazohitajika bila ya usumbufu wa aina yoyote na wala kutumia...